Mdudu Mende
Member
- Mar 31, 2021
- 78
- 120
Mpenzi huweza kupatikana mahali popote iwe klabu, kwenye ngoma, shule, kanisani nk. Ni suala la kupatana tu. Kuna watu wanakesha makanisani na hawapati watu wa kuwa nao na kuna watu wamepatana barabarani na wamedumu.
Ukuaji wa teknolojia umefanya zoezi la kutafuta wapenzi kuwa rahisi kwa kuwa na dating sites au vipande vya kutafuta marafiki, zamani kulikuwa na pen pals ambao ilikuwa unaweza kuwatafuta kwenye magazeti.
Dating sites za wenzetu zimeweka vigezo vingi sana ikiwemo rangi, shape, kama mtu ni mnywaji au mvutaji na zimekuwa na matokeo chanya kwa watu kupata wanaoendana nao. Hapa JF kuna Love Connect ambayo ni mahususi kwa kujitafutia wapenzi, naona hali iko tofauti kwa kuwa hata mrejesho wa watu kupata wapenzi ni mdogo.
Dada mmoja hivi karibuni alileta mrejeshi kuwa wengi wanamuona malaya. Why is Tz this backward kwenye kujua kuwa unaweza kupata mtu serious kwenye mtandao na mkaenda vizuri.
Mind you, kwa sasa watu wana kazi nyingi na ni vigumu kukutana na watu hasa kwa wale ambao wako ofisini na hawana starehe, hivyo hawawezi kwenda klabu nk, mtandaoni ndio kunakuwa sehemu sahihi ya kupata wenzi ambao wanaweza kudumu nao.
Nadhani suala la kudhani mtu anayetafuta mpenzi mtandaoni ni malaya ni kutokubali mabadiliko ya teknolojia.
Ukuaji wa teknolojia umefanya zoezi la kutafuta wapenzi kuwa rahisi kwa kuwa na dating sites au vipande vya kutafuta marafiki, zamani kulikuwa na pen pals ambao ilikuwa unaweza kuwatafuta kwenye magazeti.
Dating sites za wenzetu zimeweka vigezo vingi sana ikiwemo rangi, shape, kama mtu ni mnywaji au mvutaji na zimekuwa na matokeo chanya kwa watu kupata wanaoendana nao. Hapa JF kuna Love Connect ambayo ni mahususi kwa kujitafutia wapenzi, naona hali iko tofauti kwa kuwa hata mrejesho wa watu kupata wapenzi ni mdogo.
Dada mmoja hivi karibuni alileta mrejeshi kuwa wengi wanamuona malaya. Why is Tz this backward kwenye kujua kuwa unaweza kupata mtu serious kwenye mtandao na mkaenda vizuri.
Mind you, kwa sasa watu wana kazi nyingi na ni vigumu kukutana na watu hasa kwa wale ambao wako ofisini na hawana starehe, hivyo hawawezi kwenda klabu nk, mtandaoni ndio kunakuwa sehemu sahihi ya kupata wenzi ambao wanaweza kudumu nao.
Nadhani suala la kudhani mtu anayetafuta mpenzi mtandaoni ni malaya ni kutokubali mabadiliko ya teknolojia.