Kwanini wabunge hawaongelei miswada ambayo wamepitisha

Kwanini wabunge hawaongelei miswada ambayo wamepitisha

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Utaratibu ni kwamba ukiwa mbunge na umepiga kura kuunga mkono muswada wowote unatakiwa kuwa wa kwanza kuutetea. Lakini kama umepiga kura kupinga unatakiwa kutoa sababu za msingi za kupinga

Sasa wabunge wemepiga kura kuunga mkono muswada wa tozo na mengine mingi lakini hawaonekani sehemu yeyote kuongelea. Sasa hii ni kutokujua kazi zao. Kuuza muswada sio kazi ya serikali pekee
 
Utaratibu ni kwamba ukiwa mbunge na umepiga kura kuunga mkono muswada wowote unatakiwa kuwa wa kwanza kuutetea. Lakini kama umepiga kura kupinga unatakiwa kutoa sababu za msingi za kupinga

Sasa wabunge wemepiga kura kuunga mkono muswada wa tozo na mengine mingi lakini hawaonekani sehemu yeyote kuongelea. Sasa hii ni kutokujua kazi zao. Kuuza muswada sio kazi ya serikali pekee
Wanaanzaje kushare misaada ya kushibisha tumbo Kwa mfano 🤸
 
Utaratibu ni kwamba ukiwa mbunge na umepiga kura kuunga mkono muswada wowote unatakiwa kuwa wa kwanza kuutetea. Lakini kama umepiga kura kupinga unatakiwa kutoa sababu za msingi za kupinga

Sasa wabunge wemepiga kura kuunga mkono muswada wa tozo na mengine mingi lakini hawaonekani sehemu yeyote kuongelea. Sasa hii ni kutokujua kazi zao. Kuuza muswada sio kazi ya serikali pekee
Hii miswada mingi huandaliwa kwa lugha ya kiengereza na kwa lugha ya kitaaalamu ambayo ni wasomi tu wabobezi wanaoilelewa. Kwa hawa wabunge wetu ambao wanajua tu kusoma na kuandika sitarajii kama wanajua ata hicho wanachokipitisha zaidi ya kuangalia mishahara yao tu.
 
Back
Top Bottom