STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,771
- 553
Kwanini wabunge wa CDM hawakushinda katika maeneo haya? maana nashindwa kuelewa ni kwa nini raisi wetu apate kura nyingi namna hii the tusipate mbunge hata mmoja ina maana walichakachua kihivyo hawa jamaa wabaya mno.
Au ndio kusema mjomba watu wamemchoka sana.
Napata hisia Dr. Slaa ni watu wengi sana walimpigia kura ila Miraji na kikundi chake cha IT wametuchakachulia.
Au ndio kusema mjomba watu wamemchoka sana.
Napata hisia Dr. Slaa ni watu wengi sana walimpigia kura ila Miraji na kikundi chake cha IT wametuchakachulia.