Elections 2010 Kwanini wabunge wa CDM hawakushinda katika maeneo haya?

Elections 2010 Kwanini wabunge wa CDM hawakushinda katika maeneo haya?

STEIN

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2010
Posts
1,771
Reaction score
553
Kwanini wabunge wa CDM hawakushinda katika maeneo haya? maana nashindwa kuelewa ni kwa nini raisi wetu apate kura nyingi namna hii the tusipate mbunge hata mmoja ina maana walichakachua kihivyo hawa jamaa wabaya mno.

Au ndio kusema mjomba watu wamemchoka sana.
Napata hisia Dr. Slaa ni watu wengi sana walimpigia kura ila Miraji na kikundi chake cha IT wametuchakachulia.
 

Attachments

Kwanini wabunge wa CDM hawakushinda katika maeneo haya? maana nashindwa kuelewa ni kwa nini raisi wetu apate kura nyingi namna hii the tusipate mbunge hata mmoja ina maana walichakachua kihivyo hawa jamaa wabaya mno.

Au ndio kusema mjomba watu wamemchoka sana.
Napata hisia Dr. Slaa ni watu wengi sana walimpigia kura ila Miraji na kikundi chake cha IT wametuchakachulia.
Mkuu, Stein hawa jamaa walichakachua kwa hali ya juu, ukiangalia hiyo attachment ya matokea utagundua kuwa walishinda wabunge wa chadema, kwani haiingii akilini watu wachague raisi halafu mbunge waache. Waliiba kura japo hawataki kuambiwa kweli, Mungu atawahukumu, lakini sisi watanzania tutawahukuma kabla ya hukumu ya Mwenye enzi Mungu
 
Kwanini wabunge wa CDM hawakushinda katika maeneo haya? maana nashindwa kuelewa ni kwa nini raisi wetu apate kura nyingi namna hii the tusipate mbunge hata mmoja ina maana walichakachua kihivyo hawa jamaa wabaya mno.

Au ndio kusema mjomba watu wamemchoka sana.
Napata hisia Dr. Slaa ni watu wengi sana walimpigia kura ila Miraji na kikundi chake cha IT wametuchakachulia.


yap but in five years itakuwa ngumu kuchakachua sijui watakuja na mbinu gani
 
Mkuu, Stein hawa jamaa walichakachua kwa hali ya juu, ukiangalia hiyo attachment ya matokea utagundua kuwa walishinda wabunge wa chadema, kwani haiingii akilini watu wachague raisi halafu mbunge waache. Waliiba kura japo hawataki kuambiwa kweli, Mungu atawahukumu, lakini sisi watanzania tutawahukuma kabla ya hukumu ya Mwenye enzi Mungu

Nakumbuka kwenye mdahalo alipouzwa Mh. J.J. Mnyika kajifunzaa nini toka 2005, alijibu kulinda kura na watu wakakubali kulinda kura, ndio maana sasa anwatumikia.

Itabidi tuwatafute hawa wenzetu waliochakachuliwa kura tuwaulize wamejifunza nini. ili 2015 CCM watupishe tukaikomboe TZ yetu.

Peoples POWER
 
Angalia kura alizopata mgombea urais wa NCCR kwenye majimbo ambayo wabunge wake walishinda, halafu angalia nguvu kubwa iliyowekwa na serikali kupora ushindi wa CHADEMA majimbo kama Segerea, Kigoma mjini nk. Nashawishika kuamini kuwa NCCR walibebwa hasa nikihusisha mawasiliano ya kina Zoka.
 
Hata hizo kura za urais na ccm zimeongezwa kwa makusudi.
 
Back
Top Bottom