Ccm wana utaratibu mzuri wa kusimamia ujazaji fomu wa wagombea wao ili kuepuka dosari.Kwani wageni ni wapinzani peke yao, hakuna ccm mgeni uchaguzi huu?!
Mbona hawajaenguliwa ccm hata mmoja?!
Kwa mtu anayeijua CCM vizuri hawezi kuuliza swali kama hili ulilouliza!Hakuna jibu!!! Mna wanasheria wangapi CCM labda tuanzie hapo!!
Hahaha ccm mijinga, Magufuli, Kabudi, Mpango, Ndalichako na PhD zao wanajaziwa form na mwanasheria?!Ccm wanna utaratibu mzuri wa kusimamia ujazaji fomu wa wagombea wao ili kuepuka dosari.
Ila upinzani wameshindwa kuwasimamia wagombea wao wapya kujaza fomu kwa usahihi.
Kama hata kuwasimamia wagombea wao kujaza fomu kwa usahihi wameshindwa, je wanafaa kweli kuaminiwa na kupewa ruhusa ya kuunda serikali?
Inawezekana umesoma kichwa cha habari pekee na kuchangia au umechangia bila kuelewa ulichokisoma!Wewe jamaa ni kilaza kweli sijui una njaa ya muda gani kichwani mwako?
Unaamini kwamba mgombea wa upinzani akijaza form peke yake ndo hajui Sheria.?
Mbona sasa wagombea wenu wameshindwa kujaza hizo fomu? Ina maana wajinga wengi wapo upinzani ndio maana wao pekee ndio walioenguliwa.Hahaha ccm mijinga, Magufuli, Kabudi, Mpango, Ndalichako na PhD zao wanajaziwa form na mwanasheria?!
Yani ni nini kinahitaji mwanasheria kwenye ile form ya kugombea?!
Kujaza jina lako mgombea, anwaanibyako mgombea, taarifa zako binafsi mgombea, nazo unahitaji mwanasheria au kujaziwa?!
Ndio maana nchi inaongoxwa na wajinga kila siku malalamiko, kumbe hata form za kugombea hujaziwa?!
Wenzake walibandika na gundi kiasi kwamba ukijaribu kunyofoa karatasi inachanika!Schenk uhuni picha za Devotha Minja zilinyofolewa.
Tatizo la wapinzani kelele nyingi kwenye mitandao ya kijamii lakini yanapokuja masuala ya muhimu hawaonekani au umakini unakosekana!Ccm wana utaratibu mzuri wa kusimamia ujazaji fomu wa wagombea wao ili kuepuka dosari.
Ila upinzani wameshindwa kuwasimamia wagombea wao wapya kujaza fomu kwa usahihi.
Kama hata kuwasimamia wagombea wao kujaza fomu kwa usahihi wameshindwa, je wanafaa kweli kuaminiwa na kupewa ruhusa ya kuunda serikali?
Nijibu swali langu!! Usilete tantalilaKwa mtu anayeijua CCM vizuri hawezi kuuliza swali kama hili ulilouliza!
Unauliza human resources kwa CCM?
Huhitaji kufanya uchunguzi wa kina kugundua kama wapinzani nchini hawajajipanga
Ukiangalia utagundua wabunge wote wa upinzani wa kuchaguliwa ambao wana uzoefu bungeni hawajakutana na "panga" la kuwaengua kwa sababu kuu moja ambayo ni kujua vizuri taratibu za mchakato wa kuchukua fomu, kujaza kwa usahihi na kurudisha kwa wakati unaotakiwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za Uchaguzi.
Baadhi ya Wabunge waliokuwa wa viti maalum pia wameenguliwa kwa sababu nao hawana uzoefu katika mchakato kutokana na kuwa hawakuwahi kujaza fomu za kugombea ubunge bali walipewa ubunge kupitia vyama vyao.
Tofauti ya wagombea wa upinzani na CCM ni kuwa wagombea wa CCM wanasimamiwa na wanasheria wa chama chao katika kujaza fomu kwa usahihi wakati wale wa upinzani wanajaza peke yao.
Wapinzani wataendelea kulalamika wakati tatizo na ufumbuzi wa tatizo uko ndani ya uwezo wao kama watajipanga vizuri.
Wapinzani kelele nyingi kwenye mitandao ya kijamii wakati masuala ya muhimu kwenye "ground zero" hawayafanyi kwa umakini.
Uchaguzi Mkuu ni mchakato na sio tukio.
Ikumbukwe kuwa Sheria hazina Siasa.
Kilichobaki kwa sasa ni kuhesabu maumivu!
CCM ilisambaza wanasheria nchi nzima kuwasaidia kujaza fomu .Upinzani kila mtu alikuwa akipambana kivyake
Hivi kwa nini wagombea wote wa upinzani katika mkoa mmoja baada ya kuchukua fomu wasikusanyike kwa pamoja na kuelekezwa na mwanasheria pamoja na mbunge mzoefu ndani ya mkoa huo kwa pamoja amvapo wangetumia sample form moja iliyojazwa tayari? Kisha fomu walizojaza zikaguliwe kwa pamoja ndipo kila mmoja airudishe tena kwa kusindikizwa.
Inawezekana kabisa baadhi wanazikosea makusudi kama kule Misungwi. Kama kuna wabunge waluhama vyama je haiwezekani pia wagombea kuhama vyama?
Nafikiri suala la kujaza fomu na kurudisha kila chama kingelifanya ni jukumu la uongozi wa chama ngazi ya jimbo na asiachiwe mgombea.
Itafika mahali watu watakuwa wanapambana ndani ya vyama wateuliwe kugombea kwa lengo la kwenda kuuza fursa ya kugombea kwa mpinzani wake ili mpinzani apite bila kupingwa.
Na yule mdada wa Morogoro! Si mzoefu?Huhitaji kufanya uchunguzi wa kina kugundua kama wapinzani nchini hawajajipanga
Ukiangalia utagundua wabunge wote wa upinzani wa kuchaguliwa ambao wana uzoefu bungeni hawajakutana na "panga" la kuwaengua kwa sababu kuu moja ambayo ni kujua vizuri taratibu za mchakato wa kuchukua fomu, kujaza kwa usahihi na kurudisha kwa wakati unaotakiwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za Uchaguzi.
Baadhi ya Wabunge waliokuwa wa viti maalum pia wameenguliwa kwa sababu nao hawana uzoefu katika mchakato kutokana na kuwa hawakuwahi kujaza fomu za kugombea ubunge bali walipewa ubunge kupitia vyama vyao.
Tofauti ya wagombea wa upinzani na CCM ni kuwa wagombea wa CCM wanasimamiwa na wanasheria wa chama chao katika kujaza fomu kwa usahihi wakati wale wa upinzani wanajaza peke yao.
Wapinzani wataendelea kulalamika wakati tatizo na ufumbuzi wa tatizo uko ndani ya uwezo wao kama watajipanga vizuri.
Wapinzani kelele nyingi kwenye mitandao ya kijamii wakati masuala ya muhimu kwenye "ground zero" hawayafanyi kwa umakini.
Uchaguzi Mkuu ni mchakato na sio tukio.
Ikumbukwe kuwa Sheria hazina Siasa.
Kilichobaki kwa sasa ni kuhesabu maumivu!
CCM ilisambaza wanasheria nchi nzima kuwasaidia kujaza fomu .Upinzani kila mtu alikuwa akipambana kivyake
Wanasheria walikuwa bize kujaza fomu za madiwani.Mbona Magu anao wanasheria lukuki na amevurunda? Au ukweli uhujui?
Kwahiyo mkuu wagombea wote wa CCM ni wazoefu hakuna mgombea mpya?Huhitaji kufanya uchunguzi wa kina kugundua kama wapinzani nchini hawajajipanga
Ukiangalia utagundua wabunge wote wa upinzani wa kuchaguliwa ambao wana uzoefu bungeni hawajakutana na "panga" la kuwaengua kwa sababu kuu moja ambayo ni kujua vizuri taratibu za mchakato wa kuchukua fomu, kujaza kwa usahihi na kurudisha kwa wakati unaotakiwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za Uchaguzi.
Baadhi ya Wabunge waliokuwa wa viti maalum pia wameenguliwa kwa sababu nao hawana uzoefu katika mchakato kutokana na kuwa hawakuwahi kujaza fomu za kugombea ubunge bali walipewa ubunge kupitia vyama vyao.
Tofauti ya wagombea wa upinzani na CCM ni kuwa wagombea wa CCM wanasimamiwa na wanasheria wa chama chao katika kujaza fomu kwa usahihi wakati wale wa upinzani wanajaza peke yao.
Wapinzani wataendelea kulalamika wakati tatizo na ufumbuzi wa tatizo uko ndani ya uwezo wao kama watajipanga vizuri.
Wapinzani kelele nyingi kwenye mitandao ya kijamii wakati masuala ya muhimu kwenye "ground zero" hawayafanyi kwa umakini.
Uchaguzi Mkuu ni mchakato na sio tukio.
Ikumbukwe kuwa Sheria hazina Siasa.
Kilichobaki kwa sasa ni kuhesabu maumivu!
Kama inawezekana tungeweka copy ya empty form hapa tuone kuna nini hadi wapinzani tu ndio wanakosea.Wamesaidiwa na wanasheria wa Chama kujaza fomu zao, Wakati Chadema ikiendelea na ule mchakato wa kusaka wadhamini, CCM Wao na vikao vya kujaza fomu n.k,
Ule Wakati wamejikalia kimya kumbe ndani yake kilikuwa kishindo, Uchaguzi ni mipango mkuu