Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

KweliKwanza,

Huyu kama mwanamke kabisa ni ngumu kwa tusiomjua kufahamu kama ni mwanaume aisee dunia hii


Kuna siku nimecheka sana kijamaa flan hv kifupii, siku ya kufunga kinataka kumpiga mpini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuko form 4 huyo yeye yuko form6


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Mara nying watu hutumia majina makubwa kutengeneza stori zidizokuwepo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna siku nimecheka sana kijamaa flan hv kifupii, siku ya kufunga kinataka kumpiga mpini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuko form 4 huyo yeye yuko form6


Sent from my iPhone using JamiiForums

Aisee mm nilijua Ni mwanamke kbs
 
Duh
 
Wa Africa wanafiki sana, sasa privacy za wahusika zinawahusu nn? Wanashindwa ku deal na mambo ya msingi kutwa kujadili personal interest za watu. Ndo maan hakuna maendeleo msieeeeeeeeeew

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
msiba mzito
binafsi namkubali lotta mollel

he is my friend ila ki ukweli SIO SHOGA maana ana mtoto na ana girlfriend kabisa
Ndo mnavojidanganya kuwa na GF au watoto sio shoga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Huu uzi nimesoma comments zote na kuelewa exposure za wadau, naweza kusema hakuna wanalojua kuhusu USHOGA,
Na kamwe hawawezi kuufuta hapa kwetu. Tena kwa sasa umeshamili ktk pande zote za Dunia.
Kazi ipo.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Dah.

Tuwaombee watoto wetu wajao.

Na ndugu zetu pia.

Pia tujiombee sisi sote.

Of course, tuuombee ulimwengu wote.
 
Straight to the point wakuu,
Angalia A.R, Mustapha Hassanali, Noel Ndale, Rio, Deo stylist, mzee mwenyewe wa mafashooo, Martin Kadinda etc.
Ukiangalia hiyo pattern mkuu utagundua kuna common feature kwa hawa jamaa, sasa najiuliza ni kawaida kwa watu wanaohusika na mitindo ama? Maana kwa wenzetu Kama Naijeria Kuna mwamba anaitwa Ohimai Atafo mbona Ni gentleman tu lakini Ni mkali wa designs? Nawasilisha
 
Tatizo Ni kushinda Sana kwenye vioo...
Ikitoka trend lazima wajaribu ..like kupaka makeup ,Lipshine,balms.... Tunguo twa kike... Hatimae ...wanakuwa ubwabwa wa Wana kwa kujaribu jaribu...
Pia waliotangulia kwenye industry ndiyo wanaowaharibu vijana ..
Ili kijana atoboe inabidi atoe ndogo Mambo yaende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…