Hahahah.Wanapigwa vizuri tu, ila sijui kwanini wachawi hawatakagi pesa ndefu, Rafiki yangu bank teller alinihadithia kuna mkulungwa ana biashara zake za mgahawa kila siku anakuja kuomba chenji.
Na dirisha atakaloomba chenji mwisho wa siku hesabu hazitally, wakamshtukia wakamtimua.
sasa hapo loss haipo bank ipo kwa tellerWanapigwa vizuri tu, ila sijui kwanini wachawi hawatakagi pesa ndefu, Rafiki yangu bank teller alinihadithia kuna mkulungwa ana biashara zake za mgahawa kila siku anakuja kuomba chenji.
Na dirisha atakaloomba chenji mwisho wa siku hesabu hazitally, wakamshtukia wakamtimua.