Kwanini Wachimba Makaburi wengi wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa sasa hawanywi tena Gongo na wanakunywa sana Bia?

Kwanini Wachimba Makaburi wengi wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa sasa hawanywi tena Gongo na wanakunywa sana Bia?

Mzukulu

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2020
Posts
1,401
Reaction score
2,641
Wengi wao japo siyo wote hunywa sana Gongo na Pombe za Kienyeji ila sasa ni Wiki ya Tatu hii baadhi yao ninaowajua na ninaokuwa nao Maskani mbalimbali hawanywi tena Gongo na Pombe Chafu bali sasa wanakunywa Bia na pia wana Hela mno kiasi kwamba wapo wanaoniambia hata nikitaka Wanikopeshe Milioni wanaweza kwakuwa sasa Kimeeleweka.

Nikionana nao kila nikiwauliza kuwa kulikoni hivi sasa hawashikiki na wana Pesa na hawana muda wa Kupoteza Kunywa Gongo kama ilivyokuwa hapo awali wanabaki tu Kucheka na Kuniambia kuwa kwa sasa Soko lao limechanganya na kwamba nisitake Kujua zaidi ya hapo vinginevyo na Mimi watanichimbia langu wanifukie.

Na kama haitoshi pia wengi wao wanapata Wateja mbalimbali wa maeneo mengi ya Jiji ( Mji ) huu wa Dar es Salaam tofauti na ilivyokuwa au ilivyozoeleka. Je, kuna Mtu yoyote labda anaweza Kunielimisha kwanini Soko lao hawa Wachimba Makaburi limeongezeka ghafla na kwamba Siku hizi hawanywi kabisa Pombe Moto ya Gongo?
 
Wengi wao japo siyo wote hunywa sana Gongo na Pombe za Kienyeji ila sasa ni Wiki ya Tatu hii baadhi yao ninaowajua na ninaokuwa nao Maskani mbalimbali hawanywi tena Gongo na Pombe Chafu bali sasa wanakunywa Bia na pia wana Hela mno kiasi kwamba wapo wanaoniambia hata nikitaka Wanikopeshe Milioni wanaweza kwakuwa sasa Kimeeleweka.

Nikionana nao kila nikiwauliza kuwa kulikoni hivi sasa hawashikiki na wana Pesa na hawana muda wa Kupoteza Kunywa Gongo kama ilivyokuwa hapo awali wanabaki tu Kucheka na Kuniambia kuwa kwa sasa Soko lao limechanganya na kwamba nisitake Kujua zaidi ya hapo vinginevyo na Mimi watanichimbia langu wanifukie.

Na kama haitoshi pia wengi wao wanapata Wateja mbalimbali wa maeneo mengi ya Jiji ( Mji ) huu wa Dar es Salaam tofauti na ilivyokuwa au ilivyozoeleka. Je, kuna Mtu yoyote labda anaweza Kunielimisha kwanini Soko lao hawa Wachimba Makaburi limeongezeka ghafla na kwamba Siku hizi hawanywi kabisa Pombe Moto ya Gongo?
Cha kutusingizia biashara ngumu Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama umewauliza wahusika na wamekujibu, sisi unatuuliza nini zaidi?
 
Sasa kama umewauliza wahusika na wamekujibu, sisi unatuuliza nini zaidi?

Nataka uhakika wenu Kwani yawezekana kukawepo na Wachimbaji wengine kisha nikapata Mchanyato wa jumla jumla Ndugu.
 
Yaani mleta thread pumbavu sana. Unakaa unawaza ujinga tu unapost. Hayo Ni mawazo yako ya hovyo.
 
Back
Top Bottom