Kwanini wadada hata mkiwa na ujauzito mchanga kabisa mnatundika mitandio begani?

Kwanini wadada hata mkiwa na ujauzito mchanga kabisa mnatundika mitandio begani?

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Yaani hata ukute mdada ana mimba ya wiki mbili, yaani haionekani kabisaaa utakuta mtu anatundika Mtandio begani anafunika tumbo, mi nikiona mdada kafanya hivyo najua kabisa mzigo tayari.

Mnafanya hivi kwa kuwa mnaona aibu?, au kutujuza mabaharia tusiwasumbue, kwamba kuna baharia alishawahi? au kuna mtu jirani kaolewa siku nyingi na hajabahatika?

Naomba kujuzwa.

ASANTENI


images.jpg
 
Yaani hata ukute mdada ana mimba ya wiki mbili, yaani haionekani kabisaaa utakuta mtu anatundika Mtandio begani anafunika tumbo, mi nikiona mdada kafanya hivyo majua kabisa mzigo tayari.

Mnafanya hivi kwa kuwa mnaona aibu?, au kutujuza mabaharia tusiwasumbue, kwamba kuna baharia alishawahi? au kuna mtu jirani kaolewa siku nyingi na hajabahatika?

naomba kujuzwa.

ASANTENI


View attachment 1433245
Hayakuhusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hata ukute mdada ana mimba ya wiki mbili, yaani haionekani kabisaaa utakuta mtu anatundika Mtandio begani anafunika tumbo, mi nikiona mdada kafanya hivyo najua kabisa mzigo tayari.

Mnafanya hivi kwa kuwa mnaona aibu?, au kutujuza mabaharia tusiwasumbue, kwamba kuna baharia alishawahi? au kuna mtu jirani kaolewa siku nyingi na hajabahatika?

Naomba kujuzwa.

ASANTENI


View attachment 1433245
Siku ukipata mimba uje utuambie kama na ww utaweka mtandio
 
Back
Top Bottom