Utoto mwingi!! sasa mbususu!! utamu wooote vile!! husikii mashamu shamu wewe?? hata hujui una bahati? sasa unataka ikalie kitanda cha nani?? au wataka midume iikalie? kirahisi tuuu!! Mweeeeee!!! Unaumwa wewe!!
yaani akikalia mara moja!! Muimbie kawimbo kale ka sikinde!! mara Less wanyika!! umshangaze! ivo ivo mpaka nikimaliza nina watoto wakutosha!! kusimulia tu? ntasimulia sana tena nikiwa na mbusus napata nguvu mno ya kusimuliaaan vya uongo mtamu...heee!!
Na vidada vinavyojua kutuangalia usoni kinaitikia tuuuu!!! ...ntasimulia mpaka na za uongo humo! humo!! kwani nini bana......utamu ukikalia kitanda ni bahati!! eti wewe na ndevu zako bila aibu unalia mweee!
omba radhi wewe uwe salama na kamwe usirudie tena, kuwatajataja kijinga hivo!!....mke/mdada anapendwa wewe Dunia nzima, uliza uambiwe! ndo starehe zetu!!
ningekuwa karibu ninge kupiga kofi moja la kushtukiza Mwaaaaa!! akili ikukae sawa...jinga kabisa!