tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
Mara nyingi nimeshuhudia, akina dada wengi wanasaidiwa hasa kupelekwa shule na wapenzi wao, baadaye huwakataa na kuwaona hawafai, hapa tatizo huwa nini? Nawasilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara nyingi nimeshuhudia, akina dada wengi wanasaidiwa hasa kupelekwa shule na wapenzi wao, baadaye huwakataa na kuwaona hawafai, hapa tatizo huwa nini? Nawasilisha
Mh hakika nimejifunza kupitia kwenu, kwa hiyo ukiwa na unafuu hupaswi kumsaidia unayempenda?
kama vipi ka m2 anataka kusoma au kusaidiwa na shaur atume maombi na kama vp fom ajaze kam unataka returns akugee...
Mara nyingi nimeshuhudia, akina dada wengi wanasaidiwa hasa kupelekwa shule na wapenzi wao, baadaye huwakataa na kuwaona hawafai, hapa tatizo huwa nini? Nawasilisha
...TENDA WEMA UENDE ZAKO! Methali hii ilituongoza enzi zetu. Maana yake: msaidie mtu kwa nia ya kusaidia, don't attach strings, ...or u'll be disappointed!