Kwanini waende Sweden kula Pasaka na kuacha watoto 3?

Humu jf kuwe na kitengo maalumu cha kusumerise thread kama hizi aisee!
 
Sasa wakati anamtesa mama Yake domo .. Mwanaume hata humu wapo wanaotesa wake zako huku watoto wanaona usijidanganye eti wakikua watakuwa on your side ile chuki huwa haiishi kirahisi rahisi
 
Mzee anaonekana Bishoo hawa ndio wale wakizipata mtakoma" Ila sijui nn huyu mzee alifanya kibaya sana mpaka inakua ngumu kusamehewa na mke na mtt wake dah
 
Aisee ni fundisho tosha kwa wanaume na wanawake wote wanaotelekeza watoto. Acha wengine wajifunze wajue impacts za kutelekeza familia
 
Hayo ndo mabadilikoooooooo.... alikula bata wakati Mondi na Mamake wanapiga miayo. now zamu yake wacha apige miayo huku Mondi Maza wake wanakula bata batazzzzz....
 
Sasa wakati anamtesa mama Yake domo .. Mwanaume hata humu wapo wanaotesa wake zako huku watoto wanaona usijidanganye eti wakikua watakuwa on your side ile chuki huwa haiishi kirahisi rahisi
Unauhakika kuwa alimtesa? mambo ya ndani kama huyajui we kaa kimya tu ni siri nzito. Wanaume wengi wanakifua cha kutunza siri huoni wakiwajaza sumu watoto wao.
 
huyu mzee aliuza nyumba yao ya urithi kariakoo milioni 200 yote akala bata huku diamond na mama ake wakiteseka acha ale jeuri yake malipo ni hapa hapa duniani
Wanaume huwa tunajisahau sana,

Ila naweza nisimlaumu sana huyo dingi, wanawake aina na Mama Mondi na Mama Wema huwezi kukaa nao hata miaka miwili anaoneka anamdomo mchafu sana...
 
Acha ashinde tu maana hakuna namna
 
huyu mzee aliuza nyumba yao ya urithi kariakoo milioni 200 yote akala bata huku diamond na mama ake wakiteseka acha ale jeuri yake malipo ni hapa hapa duniani
Sio hiyo tu pia aliuza nyumba aliyoijenga Pugu karibu na Tazara kuelekea kwa Mh. Pinda na fedha hizo kuzitumia kuponda maisha bila kumjali mama Diamond na mwanaye.
 
Ikitokea kafariki ghafla huyu Mzee Diamond atajilaumu sana na wengi wenu humu mtamgeuka....My advice kijana mwenzetu asahau yote na akumbuke huyo ni Mzee wake yalopita si ndwele kuna asilipe ubaya kwa ubaya na kwa kipindi chote alichomkaushia Mzee kashaisoma namba vya kutosha.
 
sometimes mama zetu wanatulisha sumu za hatari aisee uwezi kujua mama na baba walikosana nini wanawake viroporopo sana usikute alimtamkia kua huyu mtoto si wako na baba kwa uchungu akasusa,, Imefikia wakati sasa domo amsamehe mzazi wake mzee anaweza kufa anamlilia hasa anashuhudia hizi anasa wakati yeye anashinda njaa au anaweza fanya kitu cha hatari sana ili wakose wote "KUNA KUSAMEHE BAADA YA KUKOSEWA"
 
Kumbuka mdingi alipiga m200 na kulia bata zote, diamond na mama yake wakat wanateseka
 
Vyo vyote itakavyo kua Mzazi atabakia kua mzazi,yeye kama mtoto atimize majukumu yake kwa mungu na mzazi wake
mwenyezi mungu atamlipa kwa maovu yake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…