Amechezea ujana...ukimuangalia vzr utajua anaumwaMzee yule anaumwa acheni kumnyanyasa.
Hapo sasa..huko kwingine alikokuwa hana watoto...queendarin mbona hatajwi si mwanae..tena km anadhn amuaribia domo basi aanapoteza muda..anajidhalilisha mwenyewKwani lazima alishwe na Dimondi?
Na mamake queendalin je mbona hakukaa nae...huyu mzee insonyesha enz zake alikua kito......I....kwanza sio mzee hapo alipo...babangu mzee kuliko huyo na anatafuta riziki mwenyewWanaume huwa tunajisahau sana,
Ila naweza nisimlaumu sana huyo dingi, wanawake aina na Mama Mondi na Mama Wema huwezi kukaa nao hata miaka miwili anaoneka anamdomo mchafu sana...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti kuchomeka kibamia, kumbe vinadharaulika bure tu ila kazi vinawezaUnafikiri kuwa Baba Ni kuchomekea kibamia chako mahali halafu unakimbia bila kujali wala kumwandalia huyo mtt maisha yake ya baadae. Hao mnaopiga domo jiulizeni Ni nn yy kamsaidia huyo mtt mpaka hapo alipofika???
Mtu kukuzaa siyo sababu ya ww kubeba ujinga wake, huyo Baba keanza Ni kijana sana, badala ya kukaa kupiga domo saa zote kama mwanamke au shoga anyanyue jembe akalime
Hili ukilichukulia juu juu linakera. Lakini hebu tuzame ndani zaidi kulikoni platnum amtende hivyo baba yake?Imeakaaje Diamond hapa unaenda kula bata za mamilioni kwa ulaya wakati huku nyuma umemuacha mshua anapga miayo ya njaa?
Hivi Zari all white party ndio itafanyika ile MAY 17/18 au ile ni show ya kawaida kwa DSM?
Alafu wanandoto za kua mamilionea!Mwisho wa siku wanaishia kupakatwa.Haya ndio maisha ya vijana wa Dar....kutwa wanashinda vibarazani na dada zao....
Nadhani atakua ME ila ana hormones za KE.Wewe Ni KE au ME?
Unatutia aibu ww mwanzisha mada. A man never discuss his fellow man instead he learns through his deeds. Period!
kuna neno limekosekana hapo!My nephews told me that: "Dudes don't about other dudes"
Thanks ni haraka "Dudes don't judge other dudes"kuna neno limekosekana hapo!
Mwenyewe anapenda kuyaanika maisha yake, ndo mana jamaa wanamfuatafutaMnapenda kufuatilia maisha ya watu du!
Na wanaowapakata ni vijana wanaowaita wakuja kutoka mikoani....ambao wanapigana usiku na mchana kuweka mamabo juu ya mstari....mwisho wa siku wakiwaonyesha mafanikio yao wanawasema wanawaringishia....Alafu wanandoto za kua mamilionea!Mwisho wa siku wanaishia kupakatwa.
Sijakuelewa hiyo quotation kuna maneno yamemiss nadhani...My nephews told me that: "Dudes don't about other dudes"
Ni sawa mzazi ni mzazi ila tujiulize ni nini adhabu ya mzazi anayemsababishia mwanaye kifo kwa uzembe/makusudi? kwamba umemtupa mtoto chooni, umemnyima chakula n.k.alafu unataka kuamini kwamba maisha yako yatakuwa sawa tuu kama vile hakijatokea chochote?Vyo vyote itakavyo kua Mzazi atabakia kua mzazi,yeye kama mtoto atimize majukumu yake kwa mungu na mzazi wake
mwenyezi mungu atamlipa kwa maovu yake...
ha ha ha we jamaa kibokoBraza ile ishu yako ya kumrudisha mkeo na mtoto kijijini kwa sababu hauna kazi imefikia wapi ??
Ni Kweli! Nna mashaka Sana Na watu aina ya mleta mada! Wasije kuwa ME&KENadhani atakua ME ila ana hormones za KE.
kisukari +akanana=Wewe wako,umeshampeleka hata hapo znz? Au hata mama yako umempeleka holiday sehemu yoyote ile? Jali yako,wamepelekwa na baba yao,kwani kuna ubaya gani? Juu ya kuachana hao watu,( zari na Ivan)angalau,wote wana play part kuhusu malezi ya watoto wao