Biashara ya Tanzania imejikita katika uongo na utapeli. Usipotapeliwa utauziwa kitu fake. Usinunue kitu kwenye mitandao ya kijamii. Huko hadi kuna wanaume wanajifanya wanawake...ukijichanganya ukatuma nauli basi inakula kwako. Unakuwa blocked hapo hapo.
Same kuna watu watapost nauza hiki halafu anaweka very attractive price..kumbe mwizi.
Ukitaka kununua kitu, nunua kwenye website. Sasa hivi wafanyabiashara wengi makini wana website zao, na pia kuna marketplace kadhaa.