Kwanini wafanyabishara wanaoidai serikali mabilioni walikamatwa wasionyeshe mabango yao? Je, Makonda alidhani itakuwa siri?

Kwanini wafanyabishara wanaoidai serikali mabilioni walikamatwa wasionyeshe mabango yao? Je, Makonda alidhani itakuwa siri?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Watu wanaoidai serikali wamepigwa marufuku kuiumbua serikali kwa mabango. Wafanyabishara wa mkoa wa rukwa waliokwama kuelewa lengo la Makonda waliandaa mabango yao; finally walilala ndani hadi alipoondoka. Hoja yake ni kwamba anawachongonisha serikali na wananchi na kwamba wavumilie serikali italipa.

Kama wanaoidai serikali wanafungwa mdomo uhuru wa kutoa kero upo wapi?
 
Watu wanaoidai serikali wamepigwa marufuku kuiumbua serikali kwa mabango. Wafanyabishara wa mkoa wa rukwa waliokwama kuelewa lengo la Makonda waliandaa mabango yao; finally walilala ndani hadi alipoondoka. Hoja yake ni kwamba anawachongonisha serikali na wananchi na kwamba wavumilie serikali italipa.

Kama wanaoidai serikali wanafungwa mdomo uhuru wa kutoa kero upo wapi?
Maigizo ya bongo ni zaidi hata ya yale ya akina ze bulldozer 🤪
 
Watu wanaoidai serikali wamepigwa marufuku kuiumbua serikali kwa mabango. Wafanyabishara wa mkoa wa rukwa waliokwama kuelewa lengo la Makonda waliandaa mabango yao; finally walilala ndani hadi alipoondoka. Hoja yake ni kwamba anawachongonisha serikali na wananchi na kwamba wavumilie serikali italipa.

Kama wanaoidai serikali wanafungwa mdomo uhuru wa kutoa kero upo wapi?
Sasa PCM anahisika hivi na Hoja yako??!!
 
Watu wanaoidai serikali wamepigwa marufuku kuiumbua serikali kwa mabango. Wafanyabishara wa mkoa wa rukwa waliokwama kuelewa lengo la Makonda waliandaa mabango yao; finally walilala ndani hadi alipoondoka. Hoja yake ni kwamba anawachongonisha serikali na wananchi na kwamba wavumilie serikali italipa.

Kama wanaoidai serikali wanafungwa mdomo uhuru wa kutoa kero upo wapi?

Hizo ziara ni za hadaa kwa wananchi wasiojua lolote. Hata wanaotakiwa kulizwa maswali ni waliopangwa sio yoyote. Hizo ziara sio za kutatua matatizo ya kweli, bali ni za kisanii Ili kuhadaa wananchi kwa ajili ya wizi wa kura.
 
Watu wanaoidai serikali wamepigwa marufuku kuiumbua serikali kwa mabango. Wafanyabishara wa mkoa wa rukwa waliokwama kuelewa lengo la Makonda waliandaa mabango yao; finally walilala ndani hadi alipoondoka. Hoja yake ni kwamba anawachongonisha serikali na wananchi na kwamba wavumilie serikali italipa.

Kama wanaoidai serikali wanafungwa mdomo uhuru wa kutoa kero upo wapi?
Tulishasema kuwa hizi ziara za Makonda zinaivua nguo serikali ya CCM na kumjenga Makonda,sasa kimeongezeka kipengele cha kuigombanisha serikali na wananchi. Tutaerewana tu.
 
Back
Top Bottom