Matulanya Mputa
JF-Expert Member
- Aug 14, 2023
- 245
- 655
Tuweke siasa pembeni, lakini ni mtazamo wangu kama nakosea mtasema.
Ukifuatilia wagombea wengi wa serikali za mitaa ni darasa la saba, au hawajasoma kabisa na watu wa kipato cha chini je serikali kwanini isibadili sifa za kugombea serikali za mitaa?
Sababu tukipata watu au wataalamu mbalimbali itatusaidia kwa namna moja ama nyingine.
Ukifuatilia wagombea wengi wa serikali za mitaa ni darasa la saba, au hawajasoma kabisa na watu wa kipato cha chini je serikali kwanini isibadili sifa za kugombea serikali za mitaa?
Sababu tukipata watu au wataalamu mbalimbali itatusaidia kwa namna moja ama nyingine.