Kwanini Wahariri wa Magazeti ya Leo wametoa Taarifa ya Ruzuku ya CHADEMA kwa Kuwasuta na Kuwashushia?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Media ya Tanzania endeleeni tu Kutumika na State kwa Zawadi za Vyeo vya Kiuteuzi, ila ipo Siku mtakuja kujua kuwa mlikuwa mnatumika kama Condom ambayo ikishamaliza Kutumika huwa inatupwa.

Hamna Akili na ndiyo NINAOWADHARAU hakuna mfano. Mko very Unprofessional Wapuuzi wakubwa nyie.

Mmenikera sana.
 
Kinana amewapa agizo kuishambulia Chadema ili kudhoofisha maandamano yao.
 
CCM inatoa ruzuku tena kwa kiapo cha damu kwa hizo media.

On second thought, inawezekana yule mtaalam wa mitama ya mkono wa goli ndo kaandika hizo tahariri. Nafahamu how capable he is.

Wapuuzi sana
 
Naunga mkono hoja
 
Soon hata report ya CAG mtaiita ujinga

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
 
special mental case
 
Ungescreen shoot hilo hiyo Sehemu Kwenye hilo gazeti,hbr picha ni sawa na Pilau bila masala.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Kuhusu "media" zetu huwa namkumbuka marehemu Benjamin Mkapa alipokataa kuongea nao.
Umesahau si kwamba alikataa kuongea nao bali alipotua tu pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa ( Dar es Salaam ) kutoka Safari yake ya Kimaifa aliwaita Waandishi wa Tanzania WAPUMBAVU ( FOOLS ) na kusema kuwa atakubali Kuhojiwa na BBC pekee kwakuwa ndiyo Wanajielewa na wako Kiuweledi zaidi huku akiwakubali mno.
 
Umechelewa kuwafahamu ndugu.
Hao ni hovyo kuliko uhovyo wenyewe.
 
Unategemea nini kwa vikanjanja uchwara hivi ambavyo vinaishi kwa bahasha za khaki kuandika kitu chenye maana? nchi hiyo unaweza kukuta habari asubuhi yooote inafanana katika magazeti yooote yani hata kama kuna spelling mistake unakuta kwenye magazeti yote ipo, umasikini wa wanahabari wetu ni janga kubwa sana maana hawajawahi kuibua lolote la maana zaidi ya kusifia watu tu na kuwatetea hata kama ni kwenye mambo ya hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…