malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Ila nikweli aiseeUmasikini ni kutumia muda wako wote kwenye kutafuta Pesa bila kuwa na ratiba za Ibada, familia, na kujumuika na watu chanya.
Ata walikotoka maduka wanafungua saa nne au tano asubuhiHabar kwanin wahindi wengi mitaa ya kariakoo hupenda kufungua maduka Yao saa tatu asubuh hadi wakati mwingine saa nne na huwahi kufunga maduka Yao saa kumi na moja na nusu..ukizingatia wengi hukaa hapo hapo posta na kariakoo
Wanafiata ushauri wa wataalam kwenye muda wa kufanya kazi kati masaa 8 Hadi Tisa, Tena Wana break ya lunch,Habar kwanin wahindi wengi mitaa ya kariakoo hupenda kufungua maduka Yao saa tatu asubuh hadi wakati mwingine saa nne na huwahi kufunga maduka Yao saa kumi na moja na nusu..ukizingatia wengi hukaa hapo hapo posta na kariakoo
Habar kwanin wahindi wengi mitaa ya kariakoo hupenda kufungua maduka Yao saa tatu asubuh hadi wakati mwingine saa nne na huwahi kufunga maduka Yao saa kumi na moja na nusu..ukizingatia wengi hukaa hapo hapo posta na kariakoo
Wahindi wana socialise sana wenyewe kwa wenyewe. Ule muda wa usiku huutumia kukutana kwenye maeneo yao, huko watakula pamoja, wataimba, watacheza, watapiga vyombo vya muziki, watacheza mpira, wataangalia pamoja movies, watafanya group calls na wenzao wa sehemu mbalimbali dunianiHabar kwanin wahindi wengi mitaa ya kariakoo hupenda kufungua maduka Yao saa tatu asubuh hadi wakati mwingine saa nne na huwahi kufunga maduka Yao saa kumi na moja na nusu..ukizingatia wengi hukaa hapo hapo posta na kariakoo
Sio mwiko,mchana watoto wameenda shule,wao ukaa kwenye vidisco ambapo watoto na ndugu wote wa kiume ulala chumba kimoja na baba na mama na jinsia yake pia.Ikifika sa8 wanafunga wanaenda kutoo mbana,wahindi hawasex usiku ni mwiko.
Tupe jibu wewe ....utasikia ushirikina.....tunasubiri majibu unayoyataka weweHabar kwanin wahindi wengi mitaa ya kariakoo hupenda kufungua maduka Yao saa tatu asubuh hadi wakati mwingine saa nne na huwahi kufunga maduka Yao saa kumi na moja na nusu..ukizingatia wengi hukaa hapo hapo posta na kariakoo
Na mida ya asubuhiWanaogopa kuporwa pesa za mauzo mida ya jioni.
Vyumba vyao ni Vidogo na huzaa Watoto wengi hivyo muda wa Usiku huwa ni ngumu kwa Wao Kutiana / Kungonoka hivyo huo muda wa mchana au unaouona huwa wanafunga Maduka yao na Kuchomoka huwahi Majumbani mwao au Vyumbani Kutinduana / Kubanduana, kwakuwa mida hiyo Watoto wao wengi wanakuwa bado hawajarudi kutoka Shuleni.Habar kwanin wahindi wengi mitaa ya kariakoo hupenda kufungua maduka Yao saa tatu asubuh hadi wakati mwingine saa nne na huwahi kufunga maduka Yao saa kumi na moja na nusu..ukizingatia wengi hukaa hapo hapo posta na kariakoo