Yanaleta hamasa tukiwa chumbani.
HahahaNa nyie wanawake wenyewe kwa wenyewe mnadharauliana kulingana na ukubwa au udogo wa hayo matako
ChaiiiLabda ungesema baadhi ya wanaume.
Aliyekuambia kila mwanaume anapenda mitefede mikubwa kakudanganya.
NaamHii kitu hata mm nimekua nikijiuliza sana ila nadhan it comes automatic yani kuna kitu unakipenda toka kwa mwanamke ila sielewi tako linakuwaga na nn,maana huyafanyii kitu chochote zaid ya kuyashikashika tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] kweli? Unayaangalia tu? Una bahati!
EeehHata mimi sipendi mwanaume flat screen khaaa....
Mwanaume mwenye katako flani hivi kama wale baseball players[emoji39] [emoji39] [emoji39] anapendeza....
Kwanini mnavaa mbato? Ili iweje, yaani mnaonyesha mfereji wa canal ulipo, (bwambwa)