Kwanini wakaka mnapenda sana "makalio yetu" wanawake......na nyie simnayo?

Hii kitu hata mm nimekua nikijiuliza sana ila nadhan it comes automatic yani kuna kitu unakipenda toka kwa mwanamke ila sielewi tako linakuwaga na nn,maana huyafanyii kitu chochote zaid ya kuyashikashika tu
Naam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…