Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,886
- 1,038
Madaktari bingwa wa JF.Naishi dar ila baridi ya siku mbili zilizopita hizi goroli zangu zilikuwa zinaniuma mpaka nikawa napata tabu kuendesha gari,ila leo joto niko safi tu!! Wakuu tatizo ni nini???? Naombeni ushauri.