Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,886
- 1,038
Ngiri hiyo Mkuu ama Henia Wahi Hospital,
Ziweke kwenye kikaangio huko joto ni nzuri
Zitafutie mtu wa kuzipasha moto, nilikua na the same problem
Henia hiyo mkuu, suluhu yake ni mzizi mmoja mchungu sana ukiunywa huo unapona kabisa lakini ukikaa kimjini zaidi basi wapo wataalamu wa upasuaji lakini mmmmh unajua uumbaji wa Mungu ni wa ajabu sana hizi gololi zina vishipa vidogo sana ikiwa upasuaji utakuwa sio makini basi ukipona baadae bunduki inakuwa na uwezo mdogo wa kutupa risasi.
Ngoja wataalamu wanakuja.