Kwanini wakati wa mfungo wa Ramadhani biashara nyingi hudorora?

Uzur wa Data uwa hazijifichi. Yaan mtu anaeoa wake mpaka wa nne azidiwe na mweye ka mke kamoja Tena anaetumia uzazi wa mpango. Sikilizia baada ya Miaka 20 kitakachotokea Ulaya.

Ingekuwa wakristo ni wengi Basi Dr Slaa angeshinda urais mwaka 2010
By 2018 kwa sensa inayofanywa na makanisa yenyewe ili kujua waumini wao ni wangapi na ni very easy kujua.

Wakatoliki na Walutheri walikuwa zaidi ya 20 million na Mbatia alisema hili hadharani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzur wa Data uwa hazijifichi. Yaan mtu anaeoa wake mpaka wa nne azidiwe na mweye ka mke kamoja Tena anaetumia uzazi wa mpango.
Ni sawa na mwendawazimu mmoja aseme Belgium ni ndogo mara elfu kumi inawezaje kuizidi uchumi Tanzania? 😝
.
Binti mdogo tu wa miaka 28 anakuwa tayari na watoto watatu hadi wanne na kashaolewa na wanaume si chini ya wanne (ana vyuo vinne).
.
Binti wa Kikristo mwenye umri huo anakuwa shule anapiga kitabu akizaa ni watoto wawili hadi wanne kamaliza.
Sisi wanaume ndio tunakuwa na idadi kubwa ya watoto.
.
Naomba unitajie idadi ya waumini wa msikiti wa Manzese au kokote ukujuapo msikiti mmoja tu nami nitakutajia waumini wa Kanisa wa eneo hilo idadi yao.

Sikilizia baada ya Miaka 20 kitakachotokea Ulaya.
Imani haba tu hiyo, waislamu wengi wa ulaya wanakuwa atheist.
.
Wanakomaa na dini wee, kodi ni kubwa maana wao ni wageni (japo kuna free services wanapata kama maradhi na vyakula) wakristo wao wanapiga tu shule wanavumbua mavitu. (Umewahi kujiuliza kwanini jamii za Kikristo ni zenye akili na uvumbuzi zaidi?)

Haiwezekani ulaya kuwa ya kiislamu kutatokea vita ya kidini kama ile ya Crusaders against Moslems!

1. U.K inaendeshwa kwa misingi ya kanisa la Anglican hadi bunge lina misalaba.
2. Russia inaendeshwa kwa misingi ya Orthodox hadi majengo yao ya serikali Moscow yana misalaba.
3. Norway pia.
4. Spain pia.
5. Germany inaongozwa kwa misingi ya Kilutheri vyama vyenyewe vya siasa ni vya Kikristo.
6. France ndio balaa.

Bahati nzuri sana watu wa huku abroad ikiwemo America they don't care kuhusu dini ya mtu kabisa na hiki ndicho kinawashawishi waislamu wengi kuja.

Unauwezo wa kuongoza unakuwa kiongozi dini yako haiwahusu ukitaka kukosana na watu weupe ni makelele ya adhana na zungumzia Sharia vinginevyo utaishi nao kwa amani sana.

Ingekuwa wakristo ni wengi Basi Dr Slaa angeshinda urais mwaka 2010

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba kiongozi wa Tanzania huwa anachaguliwa kwa kuangalia dini yake? Have some sense wewe
 
Historia ni Mwalimu mzuri,Nina Kitabu cha Historia ya Muhammad,ktk kitabu hicho kinaonyesha jinsi huyu jamaa alivyopigana vita vya jihad.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kudath Omar,Kwasababu nimegusa kwenye kidonda ndio maana unasema kuwa sina busara.Hiyo mimi hainitishi,Sasa kuonyesha kuwa Mimi ni noma nitashusha rungu jingine,ili unione Zero brain.Yaani sijali ,wewe endelea kubwekaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki kisa ni maarufu sana nimeanza kukiuliza toka 2018 na sijawahi kupata majibu.

Unakifahamu tafadhali niambie kwanini aliwaua na tena aliwaua wanaume tu kisha akawapeleka wake zao utumwani
Halafu kuna Mhuni anakataa kwamba Muhammad hakufanya vitendo vya hivyo.watu bhana?!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kudath Omar,Kwasababu nimegusa kwenye kidonda ndio maana unasema kuwa sina busara.Hiyo mimi hainitishi,Sasa kuonyesha kuwa Mimi ni noma nitashusha rungu jingine,ili unione Zero brain.Yaani sijali ,wewe endelea kubwekaaa

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… yaani mwenzako ndo npo mbaaaali kabisa na fikra hizo sijui za vidonda sijui nini...
We kama una rungu shusha tu..mm sio mfia dini kihvyo jamaa hahahaahahaa.
We shusha tu hilo rungu mm yangu yananiendewa wala hainishighulishi, katika vitu ambavyo havinishughulishi ni mtu kuniambia et naidhalilisha dini yako...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… hii sio dini yangu mzee, mwenye dini yake i.e ALLAH atailinda na kihistoria ipo hvyo.
 
Kudath Omar,Kwasababu nimegusa kwenye kidonda ndio maana unasema kuwa sina busara.Hiyo mimi hainitishi,Sasa kuonyesha kuwa Mimi ni noma nitashusha rungu jingine,ili unione Zero brain.Yaani sijali ,wewe endelea kubwekaa
Sasa embu niambie kidonda ulichokigusa hapo...yaani point gani haswa uliyoigusa inayodhoofisha UISLAM
 
Historia ni Mwalimu mzuri,Nina Kitabu cha Historia ya Muhammad,ktk kitabu hicho kinaonyesha jinsi huyu jamaa alivyopigana vita vya jihad.

Eenhh kinasemaje hicho kitabu..najua kitabu ambacho unacho wewe mie nina vitabu vya historia ya mtume volume kwa volume ndo maana ninachokwambia nakielewa mara mia zaidi yako ooh NO mara 1000
 
Na nilikuwa nawasubiri mlete hicho kisa cha banu quraydhaa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… nasubiri pia @DeWitt aanzishe uzi wa hicho kisa...
 
Hizo percentage waislam huzikosea kwa kujilinganisha na katoliki pekee, wanayasahau madhehebu mengine ya kikristo.

Kitimoto inadorora kwasababu huenda kuna waislam wanakamua mkuu wa meza. Ndo maana wakifunga biashara inayumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa wanahesabu katoliki peke yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungefanya sensa ya watu wote sasa tungekuelewa
 
By 2018 kwa sensa inayofanywa na makanisa yenyewe ili kujua waumini wao ni wangapi na ni very easy kujua.

Wakatoliki na Walutheri walikuwa zaidi ya 20 million na Mbatia alisema hili hadharani.
Wingi wenu uko wapi sasa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…