Unamuuliaza nani?Sasa kwanini baada ya mfungo biashara inakuwa nzuri?,Je,waislamu ndo watafunaji wazuri wa kitimoto?,je waislamu ndo wanywaji wazuri wa pombe kuliko sisi watu wengine?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo wenzako naona wame kususu midomo michafuHapana mkuu,mimi nawapenda hawa ndugu zangu,sema hapa nilikuwa nauliza tu,ili kujua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda mkiristo alie zaliwa leoWakristo wanaheshimu sana imani za wengine ndio maana hata ikifika mfungo wanaacha kwenda bar ili kuwapa wenzao nafasi ya kufunga kusiwe na ushawishi, tunapunguza ulaji migahawani ili wenzetu wasipate ushawishi kuharibu funga zao...
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana alafu muongo kama mkweli alete na idadi ya waisilamu fuijue
Tatizo lako unataka watu wote wamuabudu kiumbe(yesu)Akili zangu zipo timamu,labda km zako hazipo sawa kiasi cha kubishana na mtu asiye na akili timamu.Kwani kuna aina za Waislamu?.
Na hata km zipo wote kwao kitimoto si haramu?,lkn pia wote si wanapaswa kufunga ramadhani?,lkn pia ktk hao wote si wamo mabingwa wa kumtafuna huyu mdudu ?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bhandugu,
Kama kichwa kinavyosema.
Hivi ni kwanini kipindi cha mfungo biashara mbalimbali (isipokuwa zinazohusika kutengeneza futari) huwa zinakwenda vibaya? Yaani nenda bar mambo huwa sio shwari kabisa, nenda kule kwa mkuu wa meza huko ni kulala siku mbili na kuendelea, sijui ni kwanini?.
Cha ajabu baada ya mfungo kuisha mambo huwa yanakuwa bam! bam! Yaani mimi sijui ni kwanini hebu tupeana elimu ni kwanini inakuwa hivyo?
Karibuni sana wadau: Matusi, kejeli, dharau, havina nafasi kama una hasira vaa barakoa nawa mikono kwa maji na sabuni zitaisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
acha uchokozi😀😀Bhandugu,
Kama kichwa kinavyosema.
Hivi ni kwanini kipindi cha mfungo biashara mbalimbali (isipokuwa zinazohusika kutengeneza futari) huwa zinakwenda vibaya? Yaani nenda bar mambo huwa sio shwari kabisa, nenda kule kwa mkuu wa meza huko ni kulala siku mbili na kuendelea, sijui ni kwanini?.
Cha ajabu baada ya mfungo kuisha mambo huwa yanakuwa bam! bam! Yaani mimi sijui ni kwanini hebu tupeana elimu ni kwanini inakuwa hivyo?
Karibuni sana wadau: Matusi, kejeli, dharau, havina nafasi kama una hasira vaa barakoa nawa mikono kwa maji na sabuni zitaisha.
Sent using Jamii Forums mobile app