Kwanini wakazi innocent wa gaza wanajua kabisa ghorofa ulilokaa kuna huenda chini kuna hamas na unashindwa kuondoka si heri ukakae baharini

Kwanini wakazi innocent wa gaza wanajua kabisa ghorofa ulilokaa kuna huenda chini kuna hamas na unashindwa kuondoka si heri ukakae baharini

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Mimi sishabikii upande wowote wa hii vita ila Kwa hali ya kawaida kama kweli huwaungi mkono vijana wa hamas na ni mkazi wa Gaza si unahama kabisa kwanini Mpaka watoe taarifa kwamba muondoke nyie bado mmetulia ndani. Israeli anafanya kuhangaisha watu sio jambo jema na ilikuwaje hamas wanajenga miundombinu mikubwa Hivi ya kishamba mwisho wa siku watu wameapa kuibomoa yote.

Ila wale ndugu pamoja na yote muisrael na mpalestina itakuwa Wana bifu Lao special tu kwanini binadamu gani uwe na roho ngumu unakubali kupigwa bomu unalisubiri.

Binadamu anasumbuliwa akili na Mpaka wa ardhi tu ni ujinga kugombania kwenu wakati maisha kuna sehemu nyingi za kuyafanya na still Mungu wako ukamkuta kila sehemu in case kama kiini vita ni mambo ya dini na Imani.

#CEASE FIRE NOW#
 
Bila shaka hiyo taarifa umeipata kupitia vyombo vya habari ambavyo vipo chini ya Zionist propaganda.
Wana shambulia wananchi innocent then wana singizia kwamba humo walikuwemo hamas.
Ni vyema ukifahamu kwamba lengo sio kupambana tu na hamas ila ni kuhakikisha wananchi wa palestinia wanapungua kama sio kuisha kabisa, yani Genocide.
 
Mimi sishabikii upande wowote wa hii vita ila Kwa hali ya kawaida kama kweli huwaungi mkono vijana wa hamas na ni mkazi wa Gaza si unahama kabisa kwanini Mpaka watoe taarifa kwamba muondoke nyie bado mmetulia ndani. Israeli anafanya kuhangaisha watu sio jambo jema na ilikuwaje hamas wanajenga miundombinu mikubwa Hivi ya kishamba mwisho wa siku watu wameapa kuibomoa yote.

Ila wale ndugu pamoja na yote muisrael na mpalestina itakuwa Wana bifu Lao special tu kwanini binadamu gani uwe na roho ngumu unakubali kupigwa bomu unalisubiri.

Binadamu anasumbuliwa akili na Mpaka wa ardhi tu ni ujinga kugombania kwenu wakati maisha kuna sehemu nyingi za kuyafanya na still Mungu wako ukamkuta kila sehemu in case kama kiini vita ni mambo ya dini na Imani.

#CEASE FIRE NOW#
Huu kuda ungetumia kutafuta kipato nchi yetu ingekua mbali
 
Mimi sishabikii upande wowote wa hii vita ila Kwa hali ya kawaida kama kweli huwaungi mkono vijana wa hamas na ni mkazi wa Gaza si unahama kabisa kwanini Mpaka watoe taarifa kwamba muondoke nyie bado mmetulia ndani. Israeli anafanya kuhangaisha watu sio jambo jema na ilikuwaje hamas wanajenga miundombinu mikubwa Hivi ya kishamba mwisho wa siku watu wameapa kuibomoa yote.

Ila wale ndugu pamoja na yote muisrael na mpalestina itakuwa Wana bifu Lao special tu kwanini binadamu gani uwe na roho ngumu unakubali kupigwa bomu unalisubiri.

Binadamu anasumbuliwa akili na Mpaka wa ardhi tu ni ujinga kugombania kwenu wakati maisha kuna sehemu nyingi za kuyafanya na still Mungu wako ukamkuta kila sehemu in case kama kiini vita ni mambo ya dini na Imani.

#CEASE FIRE NOW#
Tatizo hao hamas pia wanaua iwapo ukionesha kuwapinga na wakikuua hakuna mahakama wala kusema eti ukashitaki maana wao ndiyo sheria. Inasikitisha sana jinsi watu wanavyouawa pande zote.
 
Israel pale anapambana na makomandoo wa Iran

Hamasi ni kama chambo tu.
Uwanja ule wa vita ni Marekani vs Iran.

Iran kupiga ndani Israel na Israel kujibu mapigo unadhani Kuna bahati mbaya.
Nasikitika tu Raia ndo wanaohangaika.


Hamas alikuwa hana uwezo wa kukaa na mateka mda wote huo ndani ya GAZA.

Hivyo Israel anajua anachokifanya.
Japo roho inauma Kwa raia wema.
Kambi za kijeshi kuwepo chini ya makazi Yao hicho ndo kinachowaghalimu
 
Back
Top Bottom