Kwanini wakazi wa mji wa Goma wasihamishwe kwa muda ili kupisha operation ya kuwafurusha waasi?

Kwanini wakazi wa mji wa Goma wasihamishwe kwa muda ili kupisha operation ya kuwafurusha waasi?

The redemeer

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2025
Posts
1,497
Reaction score
2,681
Njia nyepesi ya kuwafurusha waasi ni kuwahamisha wakazi kwa muda eneo salama atakayekaidi atahesabika ni muasi ahera Inamuhusu.

Ifanyike operation kama IDF ilivyofanya Gaza kuwashughulikia Hamasi kwa kuwahamisha wakazi wa Gaza kabla ya kushusha moto ambao magaidi wa Hamasi wakaomba poo.

Kwanini tucheke na wahuni wachache Wanasababisha nchi za maziwa kukosa amani.
 
Kwani Goma Ina idadi ya wakazi wangapi,maana kivuli cha magaidi ni kujificha kwa raia njia pekee ni kuwafurusha hadi kwa boss wao.
 
Wafanye kama IDF kule Gaza, kisha watoe kichapo cha mbwa mwizi kwa hao M23
 
Kuna waasi watajifanya ni raia hapo mkiwatoa wataenda kukinukisha huko wanakoenda
 
Back
Top Bottom