kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Tangu wakoloni waondoke Tanzania na Kenya ni miaka zaidi ya 60 na kwa ujerumani ni miaka zaidi 100 Sasa.
Kwanini Rais wa ujerumani na mfalme Charles warudi Leo kutuomba msahama juu wa Yale mabaya waliyotutendea? kwanini sasaa?
Tusibweteke na msahama huu, bali tuangalie kile ambacho hakikusemwa hadharani walichokuja nacho. Mkoloni kuomba msahama ni athabu kubwa sana inayomdhalilisha, tuhangaike na kwanini wanaomba msamaha Leo na Sasa.
Wanataka nini kwetu? Wanataka kufanya nini kwetu? Wanasukumwa na nini kuomba msamaha Sasa?
Je, ni msamaha TU au wanatulipa watu na rasilimali zetu walizosombea kwao?
Tuwaze nje ya box ili tuwe tofauti na akina Mangungo wa Msovero.
Kwanini Rais wa ujerumani na mfalme Charles warudi Leo kutuomba msahama juu wa Yale mabaya waliyotutendea? kwanini sasaa?
Tusibweteke na msahama huu, bali tuangalie kile ambacho hakikusemwa hadharani walichokuja nacho. Mkoloni kuomba msahama ni athabu kubwa sana inayomdhalilisha, tuhangaike na kwanini wanaomba msamaha Leo na Sasa.
Wanataka nini kwetu? Wanataka kufanya nini kwetu? Wanasukumwa na nini kuomba msamaha Sasa?
Je, ni msamaha TU au wanatulipa watu na rasilimali zetu walizosombea kwao?
Tuwaze nje ya box ili tuwe tofauti na akina Mangungo wa Msovero.