Kwanini wakulima wa Bangi hawalimi Cocaine au madawa mengine yenye faida kubwa zaidi wakati vifungo vya kulima dawa za kulevya vinafanana?

Kwanini wakulima wa Bangi hawalimi Cocaine au madawa mengine yenye faida kubwa zaidi wakati vifungo vya kulima dawa za kulevya vinafanana?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Ni swali critical linalohusu kuichimba akili ya muhalifu (criminal mind investigation) anaelima madawa kwa mrengo wa kiuchumi na hatari / risks za biashara haramu wanazofanya.

Kilimo cha madawa ya kulevya ni haramu kwa sheria za Tanzania, ukilima bangi kuna mvua ya miaka 20+, ukilima cocaine, Heroine, n.k. kifungo ni kama cha kulima bangi.

watu wanahatarisha maisha yao kulima Bangi sababu ya faida, Kwa bei za black market Gunia huuzwa milioni 2 na nusu, Heka moja (nusu ya uwanja wa mpira) hutoa gunia 10 sawa na milioni 25, wengine humiliki mamia ya heka tunayoona yakichomwa moto yakigundulika, piga hesabu.

Lakini pesa hii si chochote kwa madawa mengine kama heroine na cocaine, haya ni madawa ambayo yana pesa kubwa zaidi,

Mmea kama cocaine unahitaji udongo wenye Ph level 5 hadi 6 na hali ya hewa nyuzi joto 20 - 30, maeneo ya kanda ya juu kusini yanakidhi sifa

Ndiyo, mmea unaotumika kutengeneza kokaini, yaani coca (Erythroxylum coca), unaweza kustawi katika baadhi ya maeneo ya Tanzania kwa sababu ya hali ya hewa na aina za udongo zinazopatikana nchini. Hata hivyo, kuna mambo muhimu ya kuzingatia:


Mahitaji ya Hali ya Hewa

  1. Joto na Unyevu: Mmea wa coca hustawi vizuri katika maeneo ya kitropiki yenye joto la wastani kati ya 20°C hadi 30°C. Pia, unahitaji kiwango cha wastani hadi juu cha unyevunyevu wa hewa.
  2. Mvua: Mmea huu unahitaji mvua za wastani, lakini hauwezi kuhimili maji yaliyotuama. Maeneo yenye mvua ya msimu kama Kanda ya Ziwa au Pwani yanaweza kuwa mazuri kwa kilimo chake.
  3. Udongo: Coca inahitaji udongo unaopitisha maji vizuri, wenye rutuba, na pH ya wastani wa kati ya 5.5 hadi 6.5.

Tanzania ina aina tofauti za udongo unaoweza kufaa kwa mazao mbalimbali, na kuna baadhi ya mikoa/maeneo yenye udongo unaokidhi vigezo vya mmea wa coca (Erythroxylum coca). Kulingana na mahitaji ya coca (udongo unaopitisha maji vizuri, wenye rutuba, na pH ya 5.5–6.5), maeneo yafuatayo yanaweza kuwa na udongo unaofaa:

Nyanda za Juu Kusini

  • Mikoa: Mbeya, Njombe, Iringa, na Songwe.
  • Sifa za Udongo:
    • Udongo wenye rutuba kutokana na mabaki ya volkeno (volcanic soils).
    • Unapitisha maji vizuri, hasa maeneo ya miteremko.
    • pH mara nyingi ipo kati ya 5.5–6.5 katika baadhi ya mashamba ya chai na kahawa.


Masuala ya Kisheria

Kilimo cha mmea wa coca ni kosa kubwa kisheria nchini Tanzania, Afrika, na sehemu nyingine nyingi duniani. Hii ni kwa sababu coca ni chanzo kikuu cha kutengeneza kokaini, ambayo ni dawa haramu ya kulevya inayodhibitiwa vikali.

Heroine inayotoka kwenye mmea wa opim poppy nayo inaweza kulimwa

Ndiyo, mmea wa opium poppy (Papaver somniferum) unaweza kulimwa Tanzania, kwani hali ya hewa ya nchi inaweza kufaa kwa kilimo chake, hasa katika maeneo yenye baridi ya nyanda za juu. Hata hivyo, kuna mambo muhimu ya kuzingatia:

Mahitaji ya Hali ya Hewa

  1. Joto: Opium poppy hustawi katika maeneo yenye joto la wastani. Inahitaji hali ya baridi wakati wa mwanzo wa ukuaji na joto la wastani inapokomaa. Maeneo kama Nyanda za Juu Kusini (Iringa, Njombe, Mbeya) au Kaskazini (Arusha, Kilimanjaro) yanaweza kufaa.
  2. Mvua: Mmea huu unahitaji mvua ya wastani, hasa katika hatua za mwanzo za ukuaji. Hata hivyo, hauwezi kustahimili maji yaliyotuama, hivyo udongo wa eneo unapaswa kuwa na mifereji mizuri ya maji.
  3. Udongo: Unahitaji udongo unaopitisha maji vizuri, wenye mchanga au mfinyanzi wa kiasi, na pH ya kati ya neutral hadi alkaline.

Masuala ya Kisheria

Kilimo cha opium poppy kimewekewa udhibiti mkali duniani kote kwa sababu mmea huu hutumika kuzalisha dawa za kulevya kama vile morphine na heroin. Hapa Tanzania, kilimo cha mmea huu bila kibali maalum kutoka kwa serikali ni kosa la jinai. Ukikamatwa ukilima mmea huu kinyume cha sheria, unaweza kukumbana na adhabu kali.

Swali langu ni kwamba kwanini wakulima hao wanajihatarisha kwa faida ndogo wakati kuna mibadala yenye faida kubwa zaidi na vifungo sawa?
 
Nadhani unamaanisha coca plants??

Hii kitu huwezi kuipanda tu popote ikakua, hata huko south America ambapo wanalima Sana nadhani inakubali tu sehemu yenye milima/muinuko mkali, Kuna kipindi nchi kama Ghana, Ivory coast na Nigeria walijaribu ila hawakupata matokeo chanya


Ni sawa kipindi kile ma apple ya tanga, huwezi yalinganisha ni ya south Africa....


Hii nadhani inatokana na attitude, P.H ya udongo na madini yalio katika udongo, Kwa kifupi huwezi tu kujiamulia kuilima sehemu yoyote
 
Shida itakuwa upatikanaji wa pembejeo kama mbegu na viuatilifu.

Inabidi wakulima wetu sasa wa advance waende hapo Afghanistan waje na mbegu bora ya opium poppy au Peru waje na mbegu za coca waanzishe uzalishaji wa kisasa

Vile vile itabidi wajifunze jinsi ya kusindika baada ya mavuno huku wakiangazia upatikanaji wa masoko ya ndani na nje
 
Nadhani unamaanisha coca plants??

Hii kitu huwezi kuipanda tu popote ikakua, hata huko south America ambapo wanalima Sana nadhani inakubali tu sehemu yenye milima/muinuko mkali, Kuna kipindi nchi kama Ghana, Ivory coast na Nigeria walijaribu ila hawakupata matokeo chanya


Ni sawa kipindi kile ma apple ya tanga, huwezi yalinganisha ni ya south Africa....


Hii nadhani inatokana na attitude, P.H ya udongo na madini yalio katika udongo, Kwa kifupi huwezi tu kujiamulia kuilima sehemu yoyote
Uzi ufungwe,
Kama ukitaka kujiamlia basi uwe na kiwanda
 
Nadhani unamaanisha coca plants??

Hii kitu huwezi kuipanda tu popote ikakua, hata huko south America ambapo wanalima Sana nadhani inakubali tu sehemu yenye milima/muinuko mkali, Kuna kipindi nchi kama Ghana, Ivory coast na Nigeria walijaribu ila hawakupata matokeo chanya


Ni sawa kipindi kile ma apple ya tanga, huwezi yalinganisha ni ya south Africa....


Hii nadhani inatokana na attitude, P.H ya udongo na madini yalio katika udongo, Kwa kifupi huwezi tu kujiamulia kuilima sehemu yoyote
Tunaomba chanzo cha uhakika cha Ghana kulima cocaine, hatutaki story za vijiweni.

Unaweza ukawa umesoma SUA lakini haimaanishi ukawa nondo

Kwa majibu haya ya chat GPT, Tanzania mikoa ya Nyanda za juu kusini inaweza kulima cocaine

mmea unaotumika kutengeneza kokaini, yaani coca (Erythroxylum coca), unaweza kustawi katika baadhi ya maeneo ya Tanzania kwa sababu ya hali ya hewa na aina za udongo zinazopatikana nchini. Hata hivyo, kuna mambo muhimu ya kuzingatia:


Mahitaji ya Hali ya Hewa

  1. Joto na Unyevu: Mmea wa coca hustawi vizuri katika maeneo ya kitropiki yenye joto la wastani kati ya 20°C hadi 30°C. Pia, unahitaji kiwango cha wastani hadi juu cha unyevunyevu wa hewa.
  2. Mvua: Mmea huu unahitaji mvua za wastani, lakini hauwezi kuhimili maji yaliyotuama. Maeneo yenye mvua ya msimu kama Kanda ya Ziwa au Pwani yanaweza kuwa mazuri kwa kilimo chake.
  3. Udongo: Coca inahitaji udongo unaopitisha maji vizuri, wenye rutuba, na pH ya wastani wa kati ya 5.5 hadi 6.5.

Tanzania ina aina tofauti za udongo unaoweza kufaa kwa mazao mbalimbali, na kuna baadhi ya mikoa/maeneo yenye udongo unaokidhi vigezo vya mmea wa coca (Erythroxylum coca). Kulingana na mahitaji ya coca (udongo unaopitisha maji vizuri, wenye rutuba, na pH ya 5.5–6.5), maeneo yafuatayo yanaweza kuwa na udongo unaofaa:

Nyanda za Juu Kusini

  • Mikoa: Mbeya, Njombe, Iringa, na Songwe.
  • Sifa za Udongo:
    • Udongo wenye rutuba kutokana na mabaki ya volkeno (volcanic soils).
    • Unapitisha maji vizuri, hasa maeneo ya miteremko.
    • pH mara nyingi ipo kati ya 5.5–6.5 katika baadhi ya mashamba ya chai na kahawa.


Masuala ya Kisheria

Kilimo cha mmea wa coca ni kosa kubwa kisheria nchini Tanzania, Afrika, na sehemu nyingine nyingi duniani. Hii ni kwa sababu coca ni chanzo kikuu cha kutengeneza kokaini, ambayo ni dawa haramu ya kulevya inayodhibitiwa vikali.
 
Naomba nikujibu kitaalamu zaida..
Kama mtaalamu kutoa sokoine university of agriculture..

Kwanza kabisa ujue kuwa hili zao mpaka unaona limekua na kuanza kutumika jua kabisa kuna conductive environment ambazo zinassaport huu mmea

Kwanza kabisa ni soil PH
Hapa tunaangalia kiwango cha Soil acidity, Water acidity, Chlorosis and leaf distortion.
Sasa kwa kipengele hiko tuu kupata exactly soil ya hii plant ni ngumu

Oky hata tukisema tuweke hii condition kuna kitu kinaitwa climate..

Hivo mpaka inafikia hatua ya mmea huu kukua basi lazima hizo factor zote ziwe clear..

Je kwa hapa tanzania ni mkoa gani unaweza sapport hiko kilimo.
Ni hpa hapa dar salam ila ni chanika huko.mipekooo hukooo ndani ndani
 
Naomba chanzo cha hizo habari cocaine kulimwa Nigeria, kuna vitu vingine huwa ni propaganda tu

Pia ardhi ya Nigeria huwezi kuilinganisha ya hapa kwetu yenye rotuba zaidi kiasi kwamba nchi nyingi zinategemea tuwalishe

Mihogo, mapera, mahindi na mazao kibao yaliletwa hapa Africa kutoka nchi za nje na yanastawi vizuri tu
Cocaine ni zao gani kwanza??

Nimesema hizi coca plants Kuna nchi walijaribu kama hizo nilizotaja ila haikuwezekana, sababu kuu nikaweka attitude/soil p.h/ weather conditions etc
 
Naomba nikujibu kitaalamu zaida..
Kama mtaalamu kutoa sokoine university of agriculture..

Kwanza kabisa ujue kuwa hili zao mpaka unaona limekua na kuanza kutumika jua kabisa kuna conductive environment ambazo zinassaport huu mmea

Kwanza kabisa ni soil PH
Hapa tunaangalia kiwango cha Soil acidity, Water acidity, Chlorosis and leaf distortion.
Sasa kwa kipengele hiko tuu kupata exactly soil ya hii plant ni ngumu

Oky hata tukisema tuweke hii condition kuna kitu kinaitwa climate..

Hivo mpaka inafikia hatua ya mmea huu kukua basi lazima hizo factor zote ziwe clear..

Je kwa hapa tanzania ni mkoa gani unaweza sapport hiko kilimo.
Ni hpa hapa dar salam ila ni chanika huko.mipekooo hukooo ndani ndani
Cocaine inahitaji hali ya hewa nyuzi joto 20–30°C

Hii ndio hali ya hewa kwa sehemu nyingi Tanzania
 
Naomba nikujibu kitaalamu zaida..
Kama mtaalamu kutoa sokoine university of agriculture..

Kwanza kabisa ujue kuwa hili zao mpaka unaona limekua na kuanza kutumika jua kabisa kuna conductive environment ambazo zinassaport huu mmea

Kwanza kabisa ni soil PH
Hapa tunaangalia kiwango cha Soil acidity, Water acidity, Chlorosis and leaf distortion.
Sasa kwa kipengele hiko tuu kupata exactly soil ya hii plant ni ngumu

Oky hata tukisema tuweke hii condition kuna kitu kinaitwa climate..

Hivo mpaka inafikia hatua ya mmea huu kukua basi lazima hizo factor zote ziwe clear..

Je kwa hapa tanzania ni mkoa gani unaweza sapport hiko kilimo.
Ni hpa hapa dar salam ila ni chanika huko.mipekooo hukooo ndani ndani
Asipoelewa na hapa basi sasa
 
Udongo wenye chuma cha kutosha na factor ya soil ph umeiona hapo juu
Umepewa factor nyingi, wewe una counter attack na factor Moja ya Hali ya hewa tu


Kuna mahali shinyanga huko kahama Kuna joto kama la dar es salaam, Kwa Io tuanze Sasa kupanda mpunga dar es salaam sio?
Naona mmekomalia cocaine tu, Heroine je ?
 
Naona mmekomalia cocaine tu, Heroine je ? nchi kama Iran inafadhili vikundi vya kigaidi kwa mabilioni ya dola wanayopata kwenye hiki kilimo
Tutarudi kwenye factor zile zile tu, ukiona kitu watu hawakilimi na kina pesa nyingi ujue tu mazingira sio rafiki..... Mbona hatulimi mirungi( achana na ya upareni kule vile vifupi havina hata soko) tunategemea mirungi Toka Kenya????
 
Natamani niongee kitu ila acha nitulie kwa usalama wangu...
But notice kile nilichoandika juu kina majibu tosha ya maswali yako maana natamani niongee kwa utalamu kabisa ila sizani ka utaelewa hata hizo poppy species...
Chat GPT

Swali: Je, Opium poppy inaweza kulimwa Tanzania

Jibu: Ndiyo, mmea wa opium poppy (Papaver somniferum) unaweza kulimwa Tanzania, kwani hali ya hewa ya nchi inaweza kufaa kwa kilimo chake, hasa katika maeneo yenye baridi ya nyanda za juu.
 
Back
Top Bottom