Kwanini wale waafrika wenzangu wanaovuka meditterinia huwa wanazama?

Kwanini wale waafrika wenzangu wanaovuka meditterinia huwa wanazama?

Sahir Punzy

Member
Joined
Jan 13, 2015
Posts
86
Reaction score
55
Nimekuwa nikijiuliza! Hivi kwanini wahamiaji wanaovuka bahari kuingia Europe kutoka Afrika ya kaskazi huwa boti zao zina zama mara kwa mara au Nyani Wamezidi Europe Wanaamua Kudhibiti wimbi la waafrika kuingia Europe.
 
Nimekuwa nikijiuliza! Hivi kwanini wahamiaji wanaovuka bahari kuingia Europe kutoka Afrika ya kaskazi huwa boti zao zina zama mara kwa mara au Nyani Wamezidi Europe Wanaamua Kudhibiti wimbi la waafrika kuingia Europe.


nyani babu yako ....kenge maji wewe
 
Vinazama mara kwa mara sababu vyombo vyao mara nyingi huwa dhaifu na huwa wanajaa sana kupita uwezo wa chombo. Ila hilo neno"nyani"sio zuri dogo.We kama kitu hujui uliza usichanganye na matusi.JF the home of great thinkers.
 
hii post inastahili kufutwa kabisa tena haraka.... nyani...... mode futa hiii ina lugha ya kuudhi
 
Nimekuwa nikijiuliza! Hivi kwanini wahamiaji wanaovuka bahari kuingia Europe kutoka Afrika ya kaskazi huwa boti zao zina zama mara kwa mara au Nyani Wamezidi Europe Wanaamua Kudhibiti wimbi la waafrika kuingia Europe.

Mkuu swali lako zurii ila lugha uliotumia sio. Kuhusu wahamiaji wanazama kwa sababu vyombo vyao haviko kwenye usalama wa kutosha alafu wanajaa kupitiliza na ishu ya kuhamia europe mm siafikiani na hilo to my take africa has a lot of resources we Africans should benefit sioni haja ya kukimbilia ulaya kutafuta maisha what to do niku utilize resources zetu vizur ili tunufaike nazo
 
Nimekuwa nikijiuliza! Hivi kwanini wahamiaji wanaovuka bahari kuingia Europe kutoka Afrika ya kaskazi huwa boti zao zina zama mara kwa mara au Nyani Wamezidi Europe Wanaamua Kudhibiti wimbi la waafrika kuingia Europe.
Those are Muslims invaders who are tired with their diabolical deity and cult. It seems, their deity is no longer akbar
 
Vinazama mara kwa mara sababu vyombo vyao mara nyingi huwa dhaifu na huwa wanajaa sana kupita uwezo wa chombo. Ila hilo neno"nyani"sio zuri dogo.We kama kitu hujui uliza usichanganye na matusi.JF the home of great thinkers.

nyani babu yako ....kenge maji wewe

acheni presha kuna akina nyani gabu, faiza fox, je unajua fox ww?
 
Back
Top Bottom