Sahir Punzy
Member
- Jan 13, 2015
- 86
- 55
Mkuu umesoma ulichopost au?
Nimekuwa nikijiuliza! Hivi kwanini wahamiaji wanaovuka bahari kuingia Europe kutoka Afrika ya kaskazi huwa boti zao zina zama mara kwa mara au Nyani Wamezidi Europe Wanaamua Kudhibiti wimbi la waafrika kuingia Europe.
Nimekuwa nikijiuliza! Hivi kwanini wahamiaji wanaovuka bahari kuingia Europe kutoka Afrika ya kaskazi huwa boti zao zina zama mara kwa mara au Nyani Wamezidi Europe Wanaamua Kudhibiti wimbi la waafrika kuingia Europe.
Those are Muslims invaders who are tired with their diabolical deity and cult. It seems, their deity is no longer akbarNimekuwa nikijiuliza! Hivi kwanini wahamiaji wanaovuka bahari kuingia Europe kutoka Afrika ya kaskazi huwa boti zao zina zama mara kwa mara au Nyani Wamezidi Europe Wanaamua Kudhibiti wimbi la waafrika kuingia Europe.
Yan mkuu ukitaka kukutana na watu wenye fikra za ajabu,tembelea ili jukwaa
Vinazama mara kwa mara sababu vyombo vyao mara nyingi huwa dhaifu na huwa wanajaa sana kupita uwezo wa chombo. Ila hilo neno"nyani"sio zuri dogo.We kama kitu hujui uliza usichanganye na matusi.JF the home of great thinkers.
nyani babu yako ....kenge maji wewe