Kwanini wale watengeneza propaganda, hawamwandami Mrema aachie uongozi wa TLP, badala yake wanamng'ang'ania Mbowe tu?

Mwambie mbowe aendelee kukumbatia chadema kama walivyofanya hao halafu ushuhudie anguko la chadema
Akifanya yeye ni mmiliki wa chadema basi chadema hakitakuwa na tofauti na hivyo vyama ulivyovitolea mfano
Haiwezi anguka kama Magufuri kudanganywa kote kuiua CHADEMA amejikuta akiuliwa bila ya kutegemea na Mbowe akibaki na CHADEMA yake.
 
Wapo wengi, Lipumba, Mbatia n.k
 
Mrema ni mwanachama mtiifu wa Ccm na chama chake ni tawi la Ccm.

Hata hii issue ya harusi feki kutangazwa sana ilikuwa ni mkakati wa Ccm kuua mapokezi ya Mbowe mtaani.

Wewe hujaona sasa ni Mrema tuu Mbowe katulizwa??

Ccm ni laana.
Kumbe?
Mimi nilikuwa sijui "motives ya hii movie"🙄
 
Umenena vema,hao ma-propandists wa ccm wanaamini kuwa siku Mbowe akiondolewa kwa njia yoyote ile watapata unafuu wa kufanya siasa zao chafu,na kutawala milele.
Na ndiyo sababu wanamuachia Mzee Mrema, awe Mwenyekiti wa Maisha wa chama chake!
 
huwezi kupigania demokrasia ilhali ulipo hakuna demokrasia, na ndicho ambacho wanamsisitizia mbunge wa hai mstaafu, na bora hata demokrasia yenyewe ingekuwa na muitikio basi, ila cha kushangaza kila anaetaka kutangaza nia ya kiti anajengewa bifu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…