Kwanini walimu wa Biology na chemistry Huwa hawajijali?

Kwanini walimu wa Biology na chemistry Huwa hawajijali?

Njegele

Member
Joined
Aug 3, 2014
Posts
61
Reaction score
100
Habari wana JF,

Napenda nielewe kwanini walimu wa Biology na chemistry Huwa hawajijari hasa kwenye suala la mavazi.

Walimu wangu wa O-level wala hawakuwa na mda wa nguo nzuri kama walimu wa masomo mengine, A-level Sasa mda wao mwingi wako maabara, chuo kikuu ndo usiseme utadhani hawana mishahara mizuri na walio wengine siyo watu wa kupiga story kama wengine, shida Iko wapi Kwa walimu wa masomo haya ?
 
Habari wana JF, napenda nielewe kwanini walimu wa Biology na chemistry Huwa hawajijari hasa kwenye suala la mavazi.
Walimu wangu wa O-level wala hawakuwa na mda wa nguo nzuri kama walimu wa masomo mengine, A-level Sasa mda wao mwingi wako maabara, chuo kikuu ndo usiseme utadhani hawana mishahara mizuri na walio wengine siyo watu wa kupiga story kama wengine, shida Iko wapi Kwa walimu wa masomo haya ?

Si kweli ,Uliza Azania Mwalimu Mgude wa chemistry,Miaka hiyo ya Giza alikuwa ana Cresta na simu 1996,halafu alikuwa anapiga pamba kama nikki ngonyani,jimmy kabwe ,seba maganda au john dilinga.
 
Habari wana JF, napenda nielewe kwanini walimu wa Biology na chemistry Huwa hawajijari hasa kwenye suala la mavazi.
Walimu wangu wa O-level wala hawakuwa na mda wa nguo nzuri kama walimu wa masomo mengine, A-level Sasa mda wao mwingi wako maabara, chuo kikuu ndo usiseme utadhani hawana mishahara mizuri na walio wengine siyo watu wa kupiga story kama wengine, shida Iko wapi Kwa walimu wa masomo haya ?
Acha kufatilia maisha ya watu binafsi.
 
Habari wana JF,

Napenda nielewe kwanini walimu wa Biology na chemistry Huwa hawajijari hasa kwenye suala la mavazi.

Walimu wangu wa O-level wala hawakuwa na mda wa nguo nzuri kama walimu wa masomo mengine, A-level Sasa mda wao mwingi wako maabara, chuo kikuu ndo usiseme utadhani hawana mishahara mizuri na walio wengine siyo watu wa kupiga story kama wengine, shida Iko wapi Kwa walimu wa masomo haya ?
Ni kwa sababu wanajiweka kwenye kundi la 'Guinea Pigs,'.....yaani wako tayari kufanyiwa tafiti endapo watahijika kupasuliwa.
 
Hata ingekuwa wewe mwl wa bailojia kutwa kucha kuchezea mataco ya chura panya mende au wa kemia kutwa kunusa mikojo ya panya mende utaweza kuwa smart?
 
Acha Kugeneralise mambo....walimu wako..sio walimu wa watu wote...mimi walimu wangu walikuwa smart kabisa
 
Hata ingekuwa wewe mwl wa bailojia kutwa kucha kuchezea mataco ya chura panya mende au wa kemia kutwa kunusa mikojo ya panya mende utaweza kuwa smart?
Kushika matako ya mende😂🤣
 
Habari wana JF,

Napenda nielewe kwanini walimu wa Biology na chemistry Huwa hawajijari hasa kwenye suala la mavazi.

Walimu wangu wa O-level wala hawakuwa na mda wa nguo nzuri kama walimu wa masomo mengine, A-level Sasa mda wao mwingi wako maabara, chuo kikuu ndo usiseme utadhani hawana mishahara mizuri na walio wengine siyo watu wa kupiga story kama wengine, shida Iko wapi Kwa walimu wa masomo haya ?
Huyo mmja alinifundisha Biology.
Mdada mrembo nywele ndefu lkn yeye kila siku anavaa nguo chafu
 
Ni kawaida Yao hata chooni hawahitaji maji, wao Ni makaratasi tu shughuli imeisha.
 
Back
Top Bottom