Mmea Jr
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 798
- 1,871
Okay ,, nimejaribu kufuatilia ajira za walimu zilizotoka hivi karibuni na nimegundua kuna uwitaji mkubwa sana wa walimu wa commerce kwa ajili ya kufundisha kidato cha kwanza hadi cha nne
Ndiyo maana utakuja kuona kwenye ajira hizi mpya waombaji wa nafasi ya kufundisha somo la commerce wao katika usahili wataanza na oral moja kwa moja ukilinganisha na wenzao wa masomo mengine ambao wataanza ni written then watakao faulu wataenda oral interview
Sasa basi kwa muda sana nimekuwa nikiona walimu wa Economics wakitumika sanaaa hasa kwenye shule za secondary (o - level ) kufundisha somo la commerce na wengi wamekuwa wakionekana kurimudu viziri tu .
Ushauri wangu kwa serikari,, mtaala mpya unaonesha kidato sha kwanza wanapaswa kusoma somo la business study ambalo zamani ndiyo tuliliita commerce na walimu hao kiidadi imeonesha hawajitoshelezi kabisa kwa shule zote Tanzania ,, sasa kwanini tusiwatumie walimu wa Economics ambao wanarimudu somo hilo na kiidadi wapo wengi ??
Wasiwasi wangu
Tusije kuwanyima fursa walimu wa Economics muda huu wa mchakato wa ajira lakini baadae walimu hawa wa Economics wakifika vituo vya kazi wakaanza kulazimishwa na wakurugenzi kufundisha somo la business study ( Commerce ) kwa kigezo kuwa mwalimu wa Economics hata commerce anaweza kufundisha ..
Ndiyo maana utakuja kuona kwenye ajira hizi mpya waombaji wa nafasi ya kufundisha somo la commerce wao katika usahili wataanza na oral moja kwa moja ukilinganisha na wenzao wa masomo mengine ambao wataanza ni written then watakao faulu wataenda oral interview
Sasa basi kwa muda sana nimekuwa nikiona walimu wa Economics wakitumika sanaaa hasa kwenye shule za secondary (o - level ) kufundisha somo la commerce na wengi wamekuwa wakionekana kurimudu viziri tu .
Ushauri wangu kwa serikari,, mtaala mpya unaonesha kidato sha kwanza wanapaswa kusoma somo la business study ambalo zamani ndiyo tuliliita commerce na walimu hao kiidadi imeonesha hawajitoshelezi kabisa kwa shule zote Tanzania ,, sasa kwanini tusiwatumie walimu wa Economics ambao wanarimudu somo hilo na kiidadi wapo wengi ??
Wasiwasi wangu
Tusije kuwanyima fursa walimu wa Economics muda huu wa mchakato wa ajira lakini baadae walimu hawa wa Economics wakifika vituo vya kazi wakaanza kulazimishwa na wakurugenzi kufundisha somo la business study ( Commerce ) kwa kigezo kuwa mwalimu wa Economics hata commerce anaweza kufundisha ..