Kwanini walimu wanasubiri ajira kwa hamu kubwa?..

Kwanini walimu wanasubiri ajira kwa hamu kubwa?..

Andrew Gwandumi

New Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
4
Reaction score
1
Walimu Wengi Waliyomaliza Masomo Yao Wakafaulu Vizuri, Malengo Yao Huwa Tayari Kutekelezwa Kama Yalivyo pangwa..kuchelewa Kwa Ajira Nchini Husababisha Wahtimu Haohao Kubadili Malengo waliyo Yaweka Na Hatimaye Kubadilika Kwa Mifumo Yao Ya Maisha...bila Kuxahahu Kuwa Walimu Ndo Kisima Cha Maarifa Je,maarifa Na Ujuzi Kwa Muda Wote Tangu Kuhtmu Chuo Mpaka Sasa Yatakua Sawasawa...kwan Wahtmu Wengne Wameweza Kusomea Fani Zngne Na Wakazmalza Kwa Muda Ambao Serikali Imechelewesha Ajira...pamoja Na Kwamba Tunaweza Kujiajiri Je,tutajiajiri Wapi Na Taaluma Yetu Ndo Hyo Ya Ualimu?? Au 2badili Nyumba Zetu Kuwa Shule Ili Taaluma Yangu Isipotee??....serikali Kupitia TAMISEMI na UTUMISHI naiomba kama nisikivu isikie kilio cha walimu wahtimu wa vyuo mbalimbali Nchini Ambao Wamekuwa Wakisubiri Kwa Hamu Ajira Zao Kama Mlivyo Waahidi Apo Awali...pia Walimu Msisahahu Malengo Yenu Pndi Mpatapo Ajira Kwa Kufanya Hvyo Mtaweza Kukuza Uchumi Wa Familia Na Nchi Yako Kwa Ujumla....""nawasilisha""
 
mkuu kwanza big up! niseme kuwa sio kwamba serikali imetupotezea ila kwa mtazamo wangu kuna mambo yanawekwa sawa nadhani kuboresha mambo kama posho ya kujikimu,salary, nauli n.k. pili, ujuzi hauzeeki!! tatu na mwisho nimuombe mh. majaliwa atuombe radhi kwa kutudanganya na ile "mapema januari" hii sasa ni feb katikati...mwisho serikali wajue wanatuumiza sasa...kila siku naulizwa "ajira zenu bado tu?" nimejibu majibu yote mpaka sina
 
umenena mkuu,harafu kuwe na majibu ya uhakika sio kila mtu anakuwa na majibu yake mnawachanganya walmu mara TAMISEM wamesema hivi na WIZARA YA ELIMU nao vile,so nan nimkweli sasa,mpaka sasa kimya tu,halafu idadi mbna inatofautiana,Rais kwenye hotuba yake ya mwaka mpya alisema ni 36100 na Majaliwa nae akasema 26000,so which is which?
 
Je ni kweli hakuna hata mwandishi wa habari anayeweza kufuatilia ahadi za hawa viongozi wa Elimu??? Mh. Kasim Majaliwa alisema Januari, Mh. Raisi alisema "mapema mwakani", Katibu Mkuu - MoE alisema muda wowote kuanzia sasa.
Naelekea kuamini ya kwamba waandishi na waandaaji wa vipindi nao ni wasahaulifu.
 
Kimbori hakuna watu wa ajabu kama waandishi wa habari wa Tanzania, hivi wanashindwa kwenda wizarani na kumuuliza Waziri Majaliwa kuwa mbona alisema ajira januari na januari imepita kimya bila taarifa yoyote? Wametekwa na siasa za CCM na CHADEMA, kwao habari ni za siasa tu
 
Karibuni walimu kwenye secta yetu ya unyonyaji,,kazi kibao,full kuchoka kamshahara kadunchu
 
jamani ualimu ni wito tulieni hazidi mwezi wa tatu ajira zinatoka wito wangu msije mkapangiwa kule mtimbwilimbi mkala masurufu halafu msiende mtakuwa mmejiaharibia ,hata ukipangiwa kule kwenye unyayo wa nchi wewe nenda tu
 
Ndugu zangu, baada ya kuhitimu mafunzo yangu ya ualimu mwaka jana, nikaa nikawaza na kuona mda mrefu hadi ajira. Niliamua maisha mengine. Nimeinvest humu NAIROBI na kama wakinipanga naona kama wanajisumbua. Nikafanye nini huko? Ila ualimu naupenda bado.
 
Ndugu zangu, baada ya kuhitimu mafunzo yangu ya ualimu mwaka jana, nikaa nikawaza na kuona mda mrefu hadi ajira. Niliamua maisha mengine. Nimeinvest humu NAIROBI na kama wakinipanga naona kama wanajisumbua. Nikafanye nini huko? Ila ualimu naupenda bado.
 
Bora raisi alisema mapema mwakani mana hata mwezi wa nne ni mwanzoni mwa mwaka kuliko hao waliotupa matumaini ya january
 
daah hapa ni uvumilivu tu manake serikali ya JK hata haieleweki so mnatakiwa kuwa wavumilivu ajira ipo lakin dont loose hope baddies
 
Walimu ni wito au kutengenezwa?mwanzoni mwa mwaka hata mwezi wa 5!!!!!wakuu nchi imefikia dakika ya 89
 
Mtaala wa Elimu yetu umewaandaa kuajiriwa (kulishwa) sio kujiajiri (kujilisha) japo philosofia ya nchi ni ujamaa na kujitegemea aliyoacha mwalimu. 'Theory and reality do apply inversely'. Kazi ipo
 
Back
Top Bottom