Sababu ni kurahisha utambuzi wa goalkeeper na wachezaje wengine hususani kipindi inapopigwa corner au free kick.Nimejiuliza lakini sijapata jibu,hivi ni kwanini ma kipa eidha wanavaa track suit au jezi zenye rangi tofauti na wachezaji wengine,
Kwani wachezaji wengine tofauti na goalkeeper hawaruhusiwi kutumia mikono?Wanavaa hivyo kwa sababu wao ndio wanaruhusiwa kutumia mikono hivyo refa hawezi kuchanganya maamuzi
Umeshasema football hivo mikono hairuhusiwiKwani wachezaji wengine tofauti na goalkeeper hawaruhusiwi kutumia mikono?
Ndio, ni football lakini haimaanishi kuwa mikono hairuhusiwi kabisa kutumika.Umeshasema football hivo mikono hairuhusiwi
ChikwendePerfect,!
Hongera kwa ufafanuzi mzuri,Ndio, ni football lakini haimaanishi kuwa mikono hairuhusiwi kabisa kutumika.
Kila mchezaji anaruhusiwa kutumia mikono haijalishi ni goalkeeper au la. Isipokuwa, kuna sheria na mipaka ya matumizi ya mikono (limitations).
Hata goalkeeper amewekewa mipaka ya kutumia mikono kuucheza mpira. Goalkeeper pia anaruhusiwa kwenda kushambulia kama wachezaji wengine lakini haruhusiwi kuucheza mpira kwa mikono akiwa nje ya mipaka yake. Akifanya hivyo kinachofuata ni adhabu kwake na timu yake.
Wachezaji wengine pia tofauti na goalkeeper wanaruhusiwa kutumia mikono lakini kama nilivyosema, kuna sheria na mipaka. Mpira unapotoka nje ya eneo la mchezo, unarushwa kwa mikono kurudi mchezoni. Hakuna kosa hapo isipokuwa kama mpira utarushwa isivyotakiwa.
Hata linapokuja suala la mpira kugusana na mikono mchezoni kuna sheria pia (Hand Ball Rule). Mpira unapochezwa na kugusa mikono wakati wa mchezo si kosa. Kosa ni pale ambapo mikono itatumika kama chanzo cha mgusano huo.
Hata goalkeeper anaruhusiwa kurusha mpira hivyo siyo kweli kuwa haruhusiwi kutumia mikono nje ya eneo lakeNdio, ni football lakini haimaanishi kuwa mikono hairuhusiwi kabisa kutumika.
Kila mchezaji anaruhusiwa kutumia mikono haijalishi ni goalkeeper au la. Isipokuwa, kuna sheria na mipaka ya matumizi ya mikono (limitations).
Hata goalkeeper amewekewa mipaka ya kutumia mikono kuucheza mpira. Goalkeeper pia anaruhusiwa kwenda kushambulia kama wachezaji wengine lakini haruhusiwi kuucheza mpira kwa mikono akiwa nje ya mipaka yake. Akifanya hivyo kinachofuata ni adhabu kwake na timu yake.
Wachezaji wengine pia tofauti na goalkeeper wanaruhusiwa kutumia mikono lakini kama nilivyosema, kuna sheria na mipaka. Mpira unapotoka nje ya eneo la mchezo, unarushwa kwa mikono kurudi mchezoni. Hakuna kosa hapo isipokuwa kama mpira utarushwa isivyotakiwa.
Hata linapokuja suala la mpira kugusana na mikono mchezoni kuna sheria pia (Hand Ball Rule). Mpira unapochezwa na kugusa mikono wakati wa mchezo si kosa. Kosa ni pale ambapo mikono itatumika kama chanzo cha mgusano huo.
Sababu ya kuitwa football sio kwamba mpila unapaswa kuguswa na miguu pekeeUmeshasema football hivo mikono hairuhusiwi
Nadhani umejibu vema kabisa mkuuNdio, ni football lakini haimaanishi kuwa mikono hairuhusiwi kabisa kutumika.
Kila mchezaji anaruhusiwa kutumia mikono haijalishi ni goalkeeper au la. Isipokuwa, kuna sheria na mipaka ya matumizi ya mikono (limitations).
Hata goalkeeper amewekewa mipaka ya kutumia mikono kuucheza mpira. Goalkeeper pia anaruhusiwa kwenda kushambulia kama wachezaji wengine lakini haruhusiwi kuucheza mpira kwa mikono akiwa nje ya mipaka yake. Akifanya hivyo kinachofuata ni adhabu kwake na timu yake.
Wachezaji wengine pia tofauti na goalkeeper wanaruhusiwa kutumia mikono lakini kama nilivyosema, kuna sheria na mipaka. Mpira unapotoka nje ya eneo la mchezo, unarushwa kwa mikono kurudi mchezoni. Hakuna kosa hapo isipokuwa kama mpira utarushwa isivyotakiwa.
Hata linapokuja suala la mpira kugusana na mikono mchezoni kuna sheria pia (Hand Ball Rule). Mpira unapochezwa na kugusa mikono wakati wa mchezo si kosa. Kosa ni pale ambapo mikono itatumika kama chanzo cha mgusano huo.
Sasa we jamaa ulitaka tu kutengeneza ubishi. Mchezaji tofauti na kipa haruhusiwi kutumia mkono. Sheria ya kwanza ya mpira wa miguu ni uwepo wa uwanja. Ukiwa uwanjani uruhusiwi kutumia mikono isipokua kipa akiwa ndani ya eneo lake. Kurusha mpira manake unauchukua mpira uliotoka nje, ndio maana hata mchezaji anaurusha kwa mikono akiwa nje ya eneo la kuchezea.Ndio, ni football lakini haimaanishi kuwa mikono hairuhusiwi kabisa kutumika.
Kila mchezaji anaruhusiwa kutumia mikono haijalishi ni goalkeeper au la. Isipokuwa, kuna sheria na mipaka ya matumizi ya mikono (limitations).
Hata goalkeeper amewekewa mipaka ya kutumia mikono kuucheza mpira. Goalkeeper pia anaruhusiwa kwenda kushambulia kama wachezaji wengine lakini haruhusiwi kuucheza mpira kwa mikono akiwa nje ya mipaka yake. Akifanya hivyo kinachofuata ni adhabu kwake na timu yake.
Wachezaji wengine pia tofauti na goalkeeper wanaruhusiwa kutumia mikono lakini kama nilivyosema, kuna sheria na mipaka. Mpira unapotoka nje ya eneo la mchezo, unarushwa kwa mikono kurudi mchezoni. Hakuna kosa hapo isipokuwa kama mpira utarushwa isivyotakiwa.
Hata linapokuja suala la mpira kugusana na mikono mchezoni kuna sheria pia (Hand Ball Rule). Mpira unapochezwa na kugusa mikono wakati wa mchezo si kosa. Kosa ni pale ambapo mikono itatumika kama chanzo cha mgusano huo.
Hazuiwi kurusha ila haruhusiwi kuucheza kwa mikono mpira unapokuwa mchezoni nje ya eneo lake.Hata goalkeeper anaruhusiwa kurusha mpira hivyo siyo kweli kuwa haruhusiwi kutumia mikono nje ya eneo lake
Mimi nazungumzia mpira wa miguu (football) kwa ujumla, sijazungumzia uwanja wa mchezo peke yake. Usichanganye kati ya mpira wa miguu na uwanja wa mchezo (field of play).Sasa we jamaa ulitaka tu kutengeneza ubishi. Mchezaji tofauti na kipa haruhusiwi kutumia mkono. Sheria ya kwanza ya mpira wa miguu ni uwepo wa uwanja. Ukiwa uwanjani uruhusiwi kutumia mikono isipokua kipa akiwa ndani ya eneo lake. Kurusha mpira manake unauchukua mpira uliotoka nje, ndio maana hata mchezaji anaurusha kwa mikono akiwa nje ya eneo la kuchezea.