Kwanini waliosoma Sayansi ndio waliotemwa sana na TCU?

Handsome Boy 2014

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
605
Reaction score
151
Hivi ni kweli TCU First round application imetema wengi waliochagua kozi za sayansi,hebu kama una ufahamu kuhusu hili tiririka hapa.
 
Sasa mtu kama alichagua comb kwa kupenda sifa why TCU wasimpe dawa yake?
 
Unauliza swali au unatoa hoja

Kwa hiyo na wewe umepata chuo kwa aina hii ya uandishi?

Brn taabu kwelikweli.
 
TCU First round application imetema wengi waliosoma sayansi?Je, ni kwanini?

sayance wengi wanapataga div 3 na div 2 4,zakumwaga na zero kama kawa! Naongea kwa uzoefu shule niliyosoma same boys pale mwaka huu 1 zpo 12 1 ni ya pcm, 1 ya cbg, pcb hawana kitu ! Izo kumi ni za arts akati sayance ni 80% ya shule nzima, walikua zaidi ya 280 arts 60 tu, ambao arts hamna zero wala 4 , so sayance panga la met in requirement linawagusa sana zaidi ya arts
 
Anaropoka huyo kuna watu wamefaulu vzur na bado wameachwa,fanya uchunguzi kwanza
 
Sisi wanasayansi tunatabia ya kujiona sana,na kila kitu tunajua,uwa tunawacheka sana art na ndio maana hata kwenye application mtu ana dvs 4,anachagua MD MUHIMBILI!hapo tcu itamuacha?ni lazima apigwe doz.
 
Ww km uliend kuw handsome boy ndo unachokijua tu shule lazma ikupe adabu.science my foot tna nami npo kwny huo mchakato wa kupanga...hatuuzi sura wla kumjua nan ni nan ulichopanda ndo mavuno hyo unabeba yakikushinda ruksa kushare unapopajua uchambike km hp unavyochambwa.
Kakojoe ulale coz no research no right to speak.
 

kwa maneno haya si utaua mtu kwa presha.
 
duuh kwann?

Kwa nini unaongea vitu ambavyo huna uhakika navyo,mi nadhani ungekuja na data kamili halafu ndo ungetoa conclusion.mfano ungejua idadi kamili ya waliosoma science pia Kati ya hao je ni wangapi waliapply na wakapata na ni wangapi wamekosa hatimaye ungetuwekea figure hapa,sio kuja na taarifa batili.be smart sio kila unalolisikia basi liko sahihi
 

vp mkuu na wewe umetemwa nn?
 
vp mkuu na wewe umetemwa nn?

Nilitaka nikueleweshe mlugo mdogo.Enzi zangu mambo yalikuwa smart hakukuwa na kitu kinaitwa tcu,pia nilikuwa nimequalify kusoma kozi yeyote kasoro Sheria na udactari so it was easy.Na nilichagua chuo cha kusoma sio Kama nyie mnaochaguliwa.
 
Nilitaka nikueleweshe mlugo mdogo.Enzi zangu mambo yalikuwa smart hakukuwa na kitu kinaitwa tcu,pia nilikuwa nimequalify kusoma kozi yeyote kasoro Sheria na udactari so it was easy.Na nilichagua chuo cha kusoma sio Kama nyie mnaochaguliwa.

Hebu mrudishie heshima yake kwanza huyo mheshimiwa.halafu ndo tuendelee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…