Ndo shida lipo hapo vizimba Vingi havina machinga wapo wakubwa au wake zao!mfano machinga complex pale vingi machinga wamekodishwa wamiliki wanakula posho na ni vigogo tu!Mtoamada! Nimependa hii ndio mana nina wazo kwamba hili suala likifanyika hivi miez 3 mbele watatulia lakin haifiki mi5 watarudi tena barabarani. Mbaya zaid wakijenga masoko nani ana uhakika waliojengew hayo masoko watapata!? Utakut mwanajeshi mmoja kachukua vizimba 7 kaajir wat ambao ukiwakagua utakuta kweli wamachinga
Kila Mkuu wa mkoa Dar ana kibarua cha wamachinga....why akili huwa haitumiki kabisa?
Toka Marehemu Ditopile Mzuzuri anaongea live kwenye tv DTV kuhusu kuwaondoa wamachinga .hadi Leo mambo ndo yanazidi...
Serikali inashindwaje kufanya hivi kuondoa wamachinga kwa akili ..
Agiza wamachinga wote wajiandikishe manispaa ..chukua data zao zote..
Wametokea wapi?Mikoa ipi?
Bidhaa wanazouza wananunua wapi?
Maduka yapi?
Mitaji Yao iko kiasi gani?
Maeneo wanayouza Yana sifa ipi?
Halafu hizi data zifanyiwe kazi..
Kwanza ni Ku identify bidhaa popular za wamachinga na kuangalia kama haiwezekani zikatengenezwa hapa nchini
Halafu kuangalia maduka maarufu wanako nunua hizo bidhaa na kuangalia kama maduka hayo yanaweza kubanwa kwa njia ya leseni...mfano mtu ana duka la mitumba la jumla asiruhusiwe kumuuzia mtu ambae Hana TIN no...mauzo yote yawe kwenye systems....
Na ambae Hana location maalum ya kuuza bidhaa asiuziwe..
Au zile bidhaa kama makava ya simu na mitumba viwe na leseni yake maalum
Ambayo sehemu ya masharti ni kuwa na eneo rasmi la biashara...
Serikali ikifanya hivi...itajikuta
Idadi ya wamachinga inayohitaji kuwasaidia ni ndogo kuliko iliyopo sasa
Machinga halisi ni wale wauza mihogo..
Wapika vyakula n.k..
Hawa serikali inawatafutia maeneo wanafanya biashara bila usumbufu..
Manake sio wengi ...
Lakini wale wenye mitaji ya kukodi fremu lakini hawataki sababu wanaona kuna faida zaidi kutandaza barabarani kuliko kuwa na fremu wale watungiwe sheria za kukwepa Kodi washitakiwe...
Serikali ifanye hili zoezi kiakili
Kuna wamachinga halisi wa kusaidiwa
Na kuna wafanyabiashara ambao simply wanakwepa kodi...
Uwepo mfumo wa kukusanya taarifa za kila mmachinga ..ili kuwachekecha
Na baadhi ya bidhaa serikali ipige Tu marufuku kuingia nchini..
Iwe kichocheo watanzania watengeneze wenyewe...
Kuna ulazima wa kukimbizana na wamachinga wanao tandaza makava ya simu barabarani?
Kuhusu mikoa wanayotoka..
Originally wamachinga walikuwa wauza mitumba barabarani na wengi walitoka mikoa ya kusini hasa wilaya ya mchinga..
Ingawa siku hizi wamachinga wanatoka mikoa yote na wapo wengi wenye elimu ya chuo kikuu..
Kuchukua data serikali itapata jibu..
Mfano ukigundua kama wamachinga wenye elimu ya chuo kikuu wengi wamesomea taaluma fulani..mfano sociology...unakaa chini kujiuliza kama kuna ulazima kwa vyuo vyetu kuendelea kutoa graduates wengi wa taaluma hizo ambazo zinazalisha wamachinga..
Kukusanya data kutasaidia sana kujua mambo mengi..
Mikoa ipi inazalisha wamachinga?
Kwa nini?
Shule zipi?Vyuo vipi?
Wafanyabiashara wakubwa wanao wakopesha baadhi Yao hizo bidhaa..
Wanalipia Kodi stahiki??
Je Sera za serikali zinazalisha wamachinga?Kodi nyingi kwa bidhaa za ndani na Kodi kidogo kwa wanao agiza?
Hili suala la wamachinga Hadi aje mtu wa Ku li solve kiakili vinginevyo kila Mkuu wa mkoa Dar na mikoa mingine kibarua hiki kinawasubiri...
Idea ya Magu ya kutoa vitambulisho ilikuwa sahihi ila aliifanya kwa kukurupuka sana na kama njia tu ya kukusanya pesa na siyo kutataua tatizonla machinga. Inaweza kuboreshwa.Agiza wamachinga wote wajiandikishe manispaa ..chukua data zao zote..
Wametokea wapi?Mikoa ipi?
Kwa kawaida machinga wengi wanauza bidhaa kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa wenye uwezo wa ku-import container au bidhaa za kina Mo, Bakhresa n.k.Bidhaa wanazouza wananunua wapi?
Maduka yapi?
Machinga wapo wenye mtaji kidogo na wengine hawana kabisa. Ukipewa mzigo kazi yako ni kuuza na kulipa boss jioni baada ya kuchukua chako.Mitaji Yao iko kiasi gani?
Kwa kawaida machinga, palipo na watu ndipp anapouza bidhaa zake.Maeneo wanayouza Yana sifa ipi?
Kuna watu hata maduka hawana. Mtu anaingiza mzigo kutoka nje. Halafu anaweka ndani godown. Anatoa tu kuwapa machinga kwa makubaliano.Halafu hizi data zifanyiwe kazi..
Kwanza ni Ku identify bidhaa popular za wamachinga na kuangalia kama haiwezekani zikatengenezwa hapa nchini
Halafu kuangalia maduka maarufu wanako nunua hizo bidhaa na kuangalia kama maduka hayo yanaweza kubanwa kwa njia ya leseni...mfano mtu ana duka la mitumba la jumla asiruhusiwe kumuuzia mtu ambae Hana TIN no...mauzo yote yawe kwenye systems....
Machinga anauza sehemu yenye watu. Hahitaji eneo la kufanyia biashara.Na ambae Hana location maalum ya kuuza bidhaa asiuziwe..
May be. Ila sasa nchi hii itakuwa na leseni nyingi sanaAu zile bidhaa kama makava ya simu na mitumba viwe na leseni yake maalum
Ambayo sehemu ya masharti ni kuwa na eneo rasmi la biashara...
Binafsi naona njia rahisi ya kutatua suala la machinga ni "Kukomaa na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo importers".Serikali ikifanya hivi...itajikuta
Idadi ya wamachinga inayohitaji kuwasaidia ni ndogo kuliko iliyopo sasa
Machinga halisi ni wale wauza mihogo..
Wapika vyakula n.k..
Hawa serikali inawatafutia maeneo wanafanya biashara bila usumbufu..
Manake sio wengi ...
Lakini wale wenye mitaji ya kukodi fremu lakini hawataki sababu wanaona kuna faida zaidi kutandaza barabarani kuliko kuwa na fremu wale watungiwe sheria za kukwepa Kodi washitakiwe...
Serikali ifanye hili zoezi kiakili
Kuna wamachinga halisi wa kusaidiwa
Na kuna wafanyabiashara ambao simply wanakwepa kodi...
Uwepo mfumo wa kukusanya taarifa za kila mmachinga ..ili kuwachekecha
Na baadhi ya bidhaa serikali ipige Tu marufuku kuingia nchini..
Iwe kichocheo watanzania watengeneze wenyewe...
Kuna ulazima wa kukimbizana na wamachinga wanao tandaza makava ya simu barabarani?
Kuhusu mikoa wanayotoka..
Originally wamachinga walikuwa wauza mitumba barabarani na wengi walitoka mikoa ya kusini hasa wilaya ya mchinga..
Ingawa siku hizi wamachinga wanatoka mikoa yote na wapo wengi wenye elimu ya chuo kikuu..
Kuchukua data serikali itapata jibu..
Mfano ukigundua kama wamachinga wenye elimu ya chuo kikuu wengi wamesomea taaluma fulani..mfano sociology...unakaa chini kujiuliza kama kuna ulazima kwa vyuo vyetu kuendelea kutoa graduates wengi wa taaluma hizo ambazo zinazalisha wamachinga..
Kukusanya data kutasaidia sana kujua mambo mengi..
Mikoa ipi inazalisha wamachinga?
Kwa nini?
Shule zipi?Vyuo vipi?
Wafanyabiashara wakubwa wanao wakopesha baadhi Yao hizo bidhaa..
Wanalipia Kodi stahiki??
Je Sera za serikali zinazalisha wamachinga?Kodi nyingi kwa bidhaa za ndani na Kodi kidogo kwa wanao agiza?
Hili suala la wamachinga Hadi aje mtu wa Ku li solve kiakili vinginevyo kila Mkuu wa mkoa Dar na mikoa mingine kibarua hiki kinawasubiri...
Akishakua na eneo maalum,hawi machinga(marching guy)Kila Mkuu wa mkoa Dar ana kibarua cha wamachinga....why akili huwa haitumiki kabisa?
Toka Marehemu Ditopile Mzuzuri anaongea live kwenye tv DTV kuhusu kuwaondoa wamachinga .hadi Leo mambo ndo yanazidi...
Serikali inashindwaje kufanya hivi kuondoa wamachinga kwa akili ..
Agiza wamachinga wote wajiandikishe manispaa ..chukua data zao zote..
Wametokea wapi?Mikoa ipi?
Bidhaa wanazouza wananunua wapi?
Maduka yapi?
Mitaji Yao iko kiasi gani?
Maeneo wanayouza Yana sifa ipi?
Halafu hizi data zifanyiwe kazi..
Kwanza ni Ku identify bidhaa popular za wamachinga na kuangalia kama haiwezekani zikatengenezwa hapa nchini
Halafu kuangalia maduka maarufu wanako nunua hizo bidhaa na kuangalia kama maduka hayo yanaweza kubanwa kwa njia ya leseni...mfano mtu ana duka la mitumba la jumla asiruhusiwe kumuuzia mtu ambae Hana TIN no...mauzo yote yawe kwenye systems....
Na ambae Hana location maalum ya kuuza bidhaa asiuziwe..
Au zile bidhaa kama makava ya simu na mitumba viwe na leseni yake maalum
Ambayo sehemu ya masharti ni kuwa na eneo rasmi la biashara...
Serikali ikifanya hivi...itajikuta
Idadi ya wamachinga inayohitaji kuwasaidia ni ndogo kuliko iliyopo sasa
Machinga halisi ni wale wauza mihogo..
Wapika vyakula n.k..
Hawa serikali inawatafutia maeneo wanafanya biashara bila usumbufu..
Manake sio wengi ...
Lakini wale wenye mitaji ya kukodi fremu lakini hawataki sababu wanaona kuna faida zaidi kutandaza barabarani kuliko kuwa na fremu wale watungiwe sheria za kukwepa Kodi washitakiwe...
Serikali ifanye hili zoezi kiakili
Kuna wamachinga halisi wa kusaidiwa
Na kuna wafanyabiashara ambao simply wanakwepa kodi...
Uwepo mfumo wa kukusanya taarifa za kila mmachinga ..ili kuwachekecha
Na baadhi ya bidhaa serikali ipige Tu marufuku kuingia nchini..
Iwe kichocheo watanzania watengeneze wenyewe...
Kuna ulazima wa kukimbizana na wamachinga wanao tandaza makava ya simu barabarani?
Kuhusu mikoa wanayotoka..
Originally wamachinga walikuwa wauza mitumba barabarani na wengi walitoka mikoa ya kusini hasa wilaya ya mchinga..
Ingawa siku hizi wamachinga wanatoka mikoa yote na wapo wengi wenye elimu ya chuo kikuu..
Kuchukua data serikali itapata jibu..
Mfano ukigundua kama wamachinga wenye elimu ya chuo kikuu wengi wamesomea taaluma fulani..mfano sociology...unakaa chini kujiuliza kama kuna ulazima kwa vyuo vyetu kuendelea kutoa graduates wengi wa taaluma hizo ambazo zinazalisha wamachinga..
Kukusanya data kutasaidia sana kujua mambo mengi..
Mikoa ipi inazalisha wamachinga?
Kwa nini?
Shule zipi?Vyuo vipi?
Wafanyabiashara wakubwa wanao wakopesha baadhi Yao hizo bidhaa..
Wanalipia Kodi stahiki??
Je Sera za serikali zinazalisha wamachinga?Kodi nyingi kwa bidhaa za ndani na Kodi kidogo kwa wanao agiza?
Hili suala la wamachinga Hadi aje mtu wa Ku li solve kiakili vinginevyo kila Mkuu wa mkoa Dar na mikoa mingine kibarua hiki kinawasubiri...
Best post ever! Hii ni big yes nakubalian na wewe... N kuna mmachinga ananunua bidhaa kwa wamachinga wenzie! Ukichunguz kwenye nguo mitumba utalion hiliIdea ya Magu ya kutoa vitambulisho ilikuwa sahihi ila aliifanya kwa kukurupuka sana na kama njia tu ya kukusanya pesa na siyo kutataua tatizonla machinga. Inaweza kuboreshwa.
Kwa kawaida machinga wengi wanauza bidhaa kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa wenye uwezo wa ku-import container au bidhaa za kina Mo, Bakhresa n.k.
Machinga wanaouza bidhaa za kutengeneza wenyewe ni wachache sana.
Mimi ningeshauri kuwa na wizara au hata idara maalum ya kushughulikia biashara ndogo ndogo.
Machinga wapo wenye mtaji kidogo na wengine hawana kabisa. Ukipewa mzigo kazi yako ni kuuza na kulipa boss jioni baada ya kuchukua chako.
Kwa kawaida machinga, palipo na watu ndipp anapouza bidhaa zake.
Na ndio maana hizinstori za kupewa maeneo ya kufanyia biashara hazitakuja kuwa suluhisho hata siku moja.
Kuna watu hata maduka hawana. Mtu anaingiza mzigo kutoka nje. Halafu anaweka ndani godown. Anatoa tu kuwapa machinga kwa makubaliano.
Machinga anauza sehemu yenye watu. Hahitaji eneo la kufanyia biashara.
May be. Ila sasa nchi hii itakuwa na leseni nyingi sana
Binafsi naona njia rahisi ya kutatua suala la machinga ni "Kukomaa na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo importers".
Pili ni kufanya tathmini ya maduka ya rejareja. Maana unaweza kukuta mtu ana duka la kawaida tu la ku-display kumbe ndaninya nyumna ana tani 200 za mahindi, mchele na crate 100 za pombe lakini anajifanya machinga.
Tatizo la machinga linaanzia kwenye takwimu. Ndio maana Tanzania kuna watu ambao siyo raia na wanaishi tu.
Ikifahamika nani ni nani na anafanya nini itakuwa rahisi
Matumizi ya ovyo ya JWTZSehemu zote ambazo machinga wameondolewa ziwe chini ya uangalizi wa JWTZ Kwa kipindi kisichojulikana.Machinga akijichanganya tu inakula kwake mazima. Hapo Ndio tatzo litaisha.vinginevyo michezo itaendelea
Sasa hivi soko la Karume limeungua moto. Siku wakiruhusiwa tu kuendelea na biashara hapo soko la Karume, nakupa mwezi mmoja tu litarudi kama lilivyokuwa awali.Kila Mkuu wa mkoa Dar ana kibarua cha wamachinga, why akili huwa haitumiki kabisa?
Toka Marehemu Ditopile Mzuzuri anaongea live kwenye tv DTV kuhusu kuwaondoa wamachinga .hadi Leo mambo ndo yanazidi.
Serikali inashindwaje kufanya hivi kuondoa wamachinga kwa akili.
Agiza wamachinga wote wajiandikishe manispaa. Chukua data zao zote.
Halafu hizi data zifanyiwe kazi.
- Wametokea wapi? Mikoa ipi?
- Bidhaa wanazouza wananunua wapi?
- Maduka yapi?
- Mitaji Yao iko kiasi gani?
- Maeneo wanayouza yana sifa ipi?
Kwanza ni Ku identify bidhaa popular za wamachinga na kuangalia kama haiwezekani zikatengenezwa hapa nchini
Halafu kuangalia maduka maarufu wanako nunua hizo bidhaa na kuangalia kama maduka hayo yanaweza kubanwa kwa njia ya leseni. Mfano mtu ana duka la mitumba la jumla asiruhusiwe kumuuzia mtu ambae Hana TIN no, mauzo yote yawe kwenye systems.
Na ambae Hana location maalum ya kuuza bidhaa asiuziwe.
Au zile bidhaa kama makava ya simu na mitumba viwe na leseni yake maalum ambayo sehemu ya masharti ni kuwa na eneo rasmi la biashara.
Serikali ikifanya hivi itajikuta idadi ya wamachinga inayohitaji kuwasaidia ni ndogo kuliko iliyopo sasa
Machinga halisi ni wale wauza mihogo, wapika vyakula n.k. Hawa serikali inawatafutia maeneo wanafanya biashara bila usumbufu manake sio wengi
Lakini wale wenye mitaji ya kukodi fremu lakini hawataki sababu wanaona kuna faida zaidi kutandaza barabarani kuliko kuwa na fremu wale watungiwe sheria za kukwepa Kodi washitakiwe.
Serikali ifanye hili zoezi kiakili kuna wamachinga halisi wa kusaidiwa na kuna wafanyabiashara ambao simply wanakwepa kodi...
Uwepo mfumo wa kukusanya taarifa za kila mmachinga ili kuwachekecha na baadhi ya bidhaa serikali ipige tu marufuku kuingia nchini iwe kichocheo watanzania watengeneze wenyewe. Kuna ulazima wa kukimbizana na wamachinga wanao tandaza makava ya simu barabarani?
Kuhusu mikoa wanayotoka Originally wamachinga walikuwa wauza mitumba barabarani na wengi walitoka mikoa ya kusini hasa wilaya ya mchinga. Ingawa siku hizi wamachinga wanatoka mikoa yote na wapo wengi wenye elimu ya chuo kikuu. Kuchukua data serikali itapata jibu.
Mfano ukigundua kama wamachinga wenye elimu ya chuo kikuu wengi wamesomea taaluma fulani. Mfano sociology, unakaa chini kujiuliza kama kuna ulazima kwa vyuo vyetu kuendelea kutoa graduates wengi wa taaluma hizo ambazo zinazalisha wamachinga.
Kukusanya data kutasaidia sana kujua mambo mengi.
- Mikoa ipi inazalisha wamachinga?
- Kwa nini?
- Shule zipi?
- Vyuo vipi?
- Wafanyabiashara wakubwa wanao wakopesha baadhi yao hizo bidhaa.
- Wanalipia kodi stahiki?
- Je, Sera za serikali zinazalisha wamachinga? Kodi nyingi kwa bidhaa za ndani na Kodi kidogo kwa wanao agiza?
Hili suala la wamachinga Hadi aje mtu wa kuli-solve kiakili vinginevyo kila Mkuu wa mkoa Dar na mikoa mingine kibarua hiki kinawasubiri.