Kwanini wamechanyikiwa baada ya serikali kuombwa kufungia mtandao wa X?

Kwanini wamechanyikiwa baada ya serikali kuombwa kufungia mtandao wa X?

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Nimekuwa najiuliza sana lkn sipati majibu kwanini watu wanalalamika sana kusikia mtandao wa x utafungiwa nchini Tanzania, vyama vya siasa tayari vimeshaanza kutoa statements vikidai ni kuminya uhuru wa kutoa maoni. Uhuru gani wa kumtukana kiongozi wa nchi? Uhuru gani wa kuhamasisha violent extremism, uhuru gani wa kuhamasisha radicalization?

Kila inachokifanya Serikali kwenu nyie ni kibaya, kwenu nyie hakuna zuri la Serikali hata moja.

Nyie mnaona sawa tu kiongozi wa nchi anakashifiwa, anadhalilishwa, anabezwa nyie hamjitokezi kupinga na kulaani kiongozi wa nchi kufanyiwa mambo ya hovyo na akina Maria Sarungi. Dada huyu namchukia mno katika maisha yangu, yeye anaona kumchangia Lissu gari ndio maendeleo, kwake yeye anapotuma taarifa za uchochezi kwa wanaompa hela ili awatumikie anaona sawa t.

Serikali naiomba kwa heshima na taadhima, funga Twitter X, funga Instagram.Viongozi wa dini wameomba mitandao hiyo ifungiwe mimi nani nikatae.
 
Nimekuwa najiuliza sana lkn sipati majibu kwanini watu wanalalamika sana kusikia mtandao wa x utafungiwa nchini Tanzania, vyama vya siasa tayar vimeshaanza kutoa statements vikidai ni kuminya uhuru wa kutoa maoni.Uhuru gani wa kumtukana kiongozi wa nchi? Uhuru gan wa kuhamasisha violent extremism, uhuru gani wa kuhamasisha radicalization?

Kila inachokifanya serikali kwenu nyie ni kibaya, kwenu nyie hakuna zuri la serikali hata moja.

Nyie mnaona sawa t kiongozi wa nchi anakashifiwa, anadhalilishwa, anabezwa nyie hamjitokezi kupinga na kulaani kiongozi wa nchi kufanyiwa mambo ya hovyo na akina Maria Sarungi.Dada huyu namchukia mno katika maisha yangu, yeye anaona kumchangia Lissu gari ndio maendeleo, kwake yeye anapotuma taarifa za uchochezi kwa wanaompa hela ili awatumikie anaona sawa t.

Serikali naiomba kwa heshima na taadhima, funga Twitter X, funga Instagram.Viongozi wa dini wameomba mitandao hiyo ifungiwe mimi nani nikatae.
Manyumbu ya chadema yanatumia X kufurumusha matusi ,mfano Lema anatumia mtandao wa X kuonyesha kuwa watanzania ambao hatuko chadema kama hatuna akili
 
Manyumbu ya chadema yanatumia X kufurumusha matusi ,mfano Lema anatumia mtandao wa X kuonyesha kuwa watanzania ambao hatuko chadema kama hatuna akili
Kwani lini mlikuwa nazo?
 
Back
Top Bottom