mbishi sana
Senior Member
- May 10, 2013
- 102
- 74
Habari wanajamvi!
Mie ni mhimtimu wa shahada katika fani ya biashara (Bcom) kutoka chuo kikuu cha dar es salaam.
Nimeomba nafasi mbali mbali zaid ya kumi za kazi katika tovuti ya ajira bila mafanikio ya kuitwa katika usaili hata mmoja. Nikaona si vibaya kwenda kuuliza labda kuna kitu nakosea.
Majibu niliyoyapata kutoka kwa wafanyakazi wa tume ya ajira ni kuwa sina vigezo vya elimu. Kikubwa waajiri wanahitaj watu wanaosoma shahada ya business administration na sie wa chuo kikuu cha dar es salaam tunasoma shahada ya biashara ya (Bcom).
Na hiyo ndio sababu ya msingi kutoitwa katika usaili wa taasisi hii kongwe ya serikali.
Labda kuwaomba tu wanaotoa matangazo ya ajira hasa katika taasisi za serikal kutotutenga wahitimu wa chuo kikuu cha dar es salaam katika matangazo yao ya kazi. Angalau katika uhitaj wa kazi waweke BA na Bcom ili tukapambane sote katika hizo sahili za kazi.
Naomba kuwakilisha.
Mie ni mhimtimu wa shahada katika fani ya biashara (Bcom) kutoka chuo kikuu cha dar es salaam.
Nimeomba nafasi mbali mbali zaid ya kumi za kazi katika tovuti ya ajira bila mafanikio ya kuitwa katika usaili hata mmoja. Nikaona si vibaya kwenda kuuliza labda kuna kitu nakosea.
Majibu niliyoyapata kutoka kwa wafanyakazi wa tume ya ajira ni kuwa sina vigezo vya elimu. Kikubwa waajiri wanahitaj watu wanaosoma shahada ya business administration na sie wa chuo kikuu cha dar es salaam tunasoma shahada ya biashara ya (Bcom).
Na hiyo ndio sababu ya msingi kutoitwa katika usaili wa taasisi hii kongwe ya serikali.
Labda kuwaomba tu wanaotoa matangazo ya ajira hasa katika taasisi za serikal kutotutenga wahitimu wa chuo kikuu cha dar es salaam katika matangazo yao ya kazi. Angalau katika uhitaj wa kazi waweke BA na Bcom ili tukapambane sote katika hizo sahili za kazi.
Naomba kuwakilisha.