Kuwa specific watu wachambue, unazungumzia software engineering au engineering yote?
Weka statistics humu, inawezekana hao unaowajua ni nduguzo/watu wa karibu nawe na maybe ni wachache, weka zote au walau sample ya maana ili tuone percentage ya walio wachovu katika scholars wote
Ninazungumzia course ambazo zina software (programming) kama vile computer engineering, computer science, electronics and control engineering.
Bongo hizi course zinafundishwa lakini ktk programming zinafundishwa ktk kiwango cha chini. Watu wakija kufanya masters utakuta hawana knowledge ya basic things.
Lengo langu nikutaka kujua source ya matatizo haya nini? Na vile vile sijasema kwamba ni wote bali nimesema walio wengi.
Kuna mtu alikuwa point 3 ya mzumbe form six na kupata scholarship amemaliza Bsc ya electronics na gpa kali 3.5/4 lakini matokeo yake ya course zenye programming language sio mazuri kulingalisha na course zingine yani amestruggle kuzifaulu compared na course nyingine. Huo ni mfano wako wengi sana siwezi kuwataja wote. Statistics ktk suala hilo ni hakuna.
Ninaowafahamu mimi ni watu wa karibu ofcourse na wengi wao ni wenye division one kali form six. Nadhani unajua kwenye miaka ya 2000 ulikuwa huwezi kuingia dept hizi pale udsm kama huna one ya point tano kushuka. Course za electrical engineering, civil na mechanical hazina wasiwasi sana wabongo wanazimudu vizuri. Inapokuja issue ya programming acha na program kama java, Asp.net, sisco na zinginezo nyingi watu wanazimudu. In short wabongo course au software za networking hawana matatizo nazo ila programming kama high level language c, c++,assembly, pic programming, labview,dspace, microprocessors na matlab.
In short mimi sio mtu anaeongea bila kuwa na knowledge ya ninavyo ongelea.
ni graduate wa Bsc ya electrical and Electronics dept na nina Msc ya Systems and Control ni
nimefanya programming nyingi tu na watu wa mataifa mbalimbali na watu wa africa wameonyesha uwezo mdogo ktk masuala ya programming.
Watu wengine wa karibu yangu wamefanya course hizi pale mlimani na ata hapa. Wengi wanalalamika kuhusu programming inasumbua.
NB: Usiongee ili kufurahisha genge kuna ki section cha udaku/utani ambacho kinafaaa kwa mambo hayo..
Regards