hata mimi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 1,356
- 1,442
Viongozi hususani wa kisiasa wamekuwa wakiitwa au wakiitana waheshimiwa sijui sisi wengine tunaonekanaje hata yani!
Utakuta mtu ambae ni mbunge waziri diwani mkuu wa wilaya/mkoa mkurugenzi nk kwenye vikao/mikutano yao neno hilo limetawala hadi kero (kwangu mimi)
Nauliza hivyo maana utasikia mheshimiwa fulani mheshimiwa fulani yaani hata mtu ana title fulani itatajwa lakini neno mheshimiwa lazima lianze, kwanini?
Utakuta mtu ambae ni mbunge waziri diwani mkuu wa wilaya/mkoa mkurugenzi nk kwenye vikao/mikutano yao neno hilo limetawala hadi kero (kwangu mimi)
Nauliza hivyo maana utasikia mheshimiwa fulani mheshimiwa fulani yaani hata mtu ana title fulani itatajwa lakini neno mheshimiwa lazima lianze, kwanini?