comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,950
Tatizo Sizonje anadhani anamkomoa mbowe na cdm kwa kuwa karibu na kupata "semina elekezi" ya jinsi ya "kuongoza nchi" kutoka kwa kagame.
Kikwete hakuwa mjinga.
Sasa yeye hadi "jumba jeupe" kaweka askari wa rwanda wamlinde badala ya askari wa kitanzania.
Na kagame alivyo shetani anajifanya kujenga urafiki na sizonje huku anammaliza taratibu.
Sizonje atakuja shtuka ashawekwa kando, atabakia kuwa "rubber stamp" ya kagame.
And soon atamlipa kwa kuondoa jeshi huko Congo.Labda baba anawatoa wanae kafara kulinda urafiki na jamaa yake !! Mengi yanatokea ikiwemo kuwapa watuendeshee nchi kupitia udhibiti wa mtandao
Dunia ya Leo ya kutegemea kufundishwa kuthibiti matumizi ya mtandao na ka nchi kakorofi kama Rwanda kweli? Na tunafahamu fika techolojia ya Leo ni utaalamu wa mtandao tu waweza kukufanya ufanye lolote
Kama masoja wetu wanashitukizwa kambini na kushambulia tunahitaji asset on the sky arround hilo kambi,
basi tuazime zile drone alizoleta nyarandu kwa ajili ya wanyama pori kama hatuwezi kununua drone japo drone moja haizidi hata shs milioni 50,
hiyo drone iwe ina patrol maeneo ya pori ili iweze kuona wavamizi kabla hawajafika eneo la kambi.
Sasa sijui hilo nalo gumu ,kama vijana huwa hawatoshi kulinda kambi usiku,
maana inatakiwa uwe na intelligence ya kuona tukio kabla halijatokea.
Sasa kundi kubwa la waasi lina approach kambi hadi kufika bila wzatu kuwa na habari kweli?
namaanisha na wao pia wako unadhani ni kwanini wameshambuliwa?Unamaanisha na wajeda wa jwtz pia au?
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Huu ndio usenge wa mwisho kabisa. Kundi lolote na likiwa na viongozi wenye majina ya kiislamu basi linahusishwa na dini ya uislamu. Lakini tumeshuhudia Australia wameamua kufirana lakini hakuna kuhusishwa na dini.
Niko na mashaka sana baada ya bombadia kushikiliwa kama haitoshi ni kuhujumu heshima na sifa ya JWTZ. Hawa watu walio zuiliwa makanikia yao wako very strategic. Moja ya pride yetu kama nchi ni utendaji wa jeshi letu na TISS.
Hawa wameabika baada ya kushikwa redhanded na nakanikia yenye udanganyif,u, so wako katika kutuhujumu hasa kuichafua serikali na kiongozi wetu mkuu. Maneno kama, "tumewapa wa shamba kuongoza nchi" si fikiri kama yana kuja tu hivihivi, ndio sifikiri.
Ipo siku tu!Hujawaifika hata chalinze kelele nyingi kujifanya wajuaj kumbe 0 brain na kongo watafta nin kujifanya wasamaria wema kumbe wapuuz anaefaidika pale n south africa America na israel
Point mkuu[emoji109]Mimi bado naamini Rwanda wanafanya kila njia kuhakikisha majeshi yetu yanaondoka Kongo.Baada ya M23 kufurumshwa yale majeshi ya Rwanda kwa mgongo wa M23 bila shaka wanatumia waasi wengine lakini kwa minajili ya kulipiza kisasi.maana bila jeshi letu Rwanda bado wangekuwa Kongo kuvuna rasilimali za huko.Tuwe macho na Rwanda si watu wazuri hata kidogo kwenye ukanda huu.
nahisi NIKWELI kwa asilimia nyingi mkuuHuko usimsingizie kagame bwana ,Leo ukimwambia mwanajeshi aliyepo Congo arudi BOngo atalia machozi na Mara nyingi waangalie wale ambao wamepata nafasi ya kuwa Kule kwa mda mchache uone changes zao automatically Congo ukiwa na Ak 47 ndani we ni tajari .yote kwa yote gold and Diamond is.......
Naishia hapo
what about M.I???Tiss tusaidieni nini kinaendelea congo kwa wanajeshi wa TZ, RIP our commanders
Fuatilia life yke utaniambiaMkuu Wakikosi kilichokua Kongo Sasa hivi ndie mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Lt Gen. D.Mwakibolwa.