Kwanini wanaJF tusinunue kichwa kimoja cha SGR na mabehewa 8?

Kwanini wanaJF tusinunue kichwa kimoja cha SGR na mabehewa 8?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Wakati rais Samia akifungua reli ya SGR alisema utaratibu unaandaliwa kwa wawekazaji binafsi kuwekeza katika reli hii.

Wakati wakina Bakhresa wakijiandaa kuchangamkia fursa hii. Ni wakati sahihi na sisi wanaJF kuchangamkia fursa hii muhimu. Tuanzishe kikundi maalumu, tukusanye hela halafu tununue treni na mabehewa.

Katika mabehewà haya 8, tutabakiza mabehewa 3 kwa ajili ya wanaJF kusafiri bure na mengine 5 yatabaki kwa ajili ya abiria na kufanya biashara.
 
Wakati rais Samia akifungua reli ya SGR alisema utaratibu unaandaliwa kwa wawekazaji binafsi kuwekeza katika reli hii.
Wakati wakina Bakhresa wakijiandaa kuchangamkia fursa hii. Ni wakati sahihi na sisi wanaJF kuchangamkia fursa hii muhimu. Tuanzishe kikundi maalumu ,tukusanye hela halafu tununue treni na mabehewa.
Katika mabehewà haya 8, tutabakiza mabehewa 3 kwa ajili ya wanaJF kusafiri bure na mengine 5 yatabaki kwa ajili ya abiria na kufanya biashara.
Wazo zuri sana!
 
Wakati rais Samia akifungua reli ya SGR alisema utaratibu unaandaliwa kwa wawekazaji binafsi kuwekeza katika reli hii.
Wakati wakina Bakhresa wakijiandaa kuchangamkia fursa hii. Ni wakati sahihi na sisi wanaJF kuchangamkia fursa hii muhimu. Tuanzishe kikundi maalumu ,tukusanye hela halafu tununue treni na mabehewa.
Katika mabehewà haya 8, tutabakiza mabehewa 3 kwa ajili ya wanaJF kusafiri bure na mengine 5 yatabaki kwa ajili ya abiria na kufanya biashara.
KITAKUWA KINAPITA MTAA GANI
 
Wakati rais Samia akifungua reli ya SGR alisema utaratibu unaandaliwa kwa wawekazaji binafsi kuwekeza katika reli hii.
Wakati wakina Bakhresa wakijiandaa kuchangamkia fursa hii. Ni wakati sahihi na sisi wanaJF kuchangamkia fursa hii muhimu. Tuanzishe kikundi maalumu ,tukusanye hela halafu tununue treni na mabehewa.
Katika mabehewà haya 8, tutabakiza mabehewa 3 kwa ajili ya wanaJF kusafiri bure na mengine 5 yatabaki kwa ajili ya abiria na kufanya biashara.
Wazo zuri na mimi kuna mdada mmoja mshikaji wangu anatengeza supu na makongoro vizuri sana napendekeza apewe nafasi ya kuuza ndani ya sgr.
 
Wakati rais Samia akifungua reli ya SGR alisema utaratibu unaandaliwa kwa wawekazaji binafsi kuwekeza katika reli hii.
Wakati wakina Bakhresa wakijiandaa kuchangamkia fursa hii. Ni wakati sahihi na sisi wanaJF kuchangamkia fursa hii muhimu. Tuanzishe kikundi maalumu ,tukusanye hela halafu tununue treni na mabehewa.
Katika mabehewà haya 8, tutabakiza mabehewa 3 kwa ajili ya wanaJF kusafiri bure na mengine 5 yatabaki kwa ajili ya abiria na kufanya biashara.
lete budget/makadirio
 
nawasubiri hapa mlipe kodi inayozidi bei ya hiyo sgr mtayo nunua
 
Mkatisha Ticket niko winja winjaa, mshindwee nyie tyuuh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom