Kwanini Wanamuziki wengi wa kiume kutoka Zanzibar wapo hivi?

Sasa watu hawali ugali,hawali mihogo, ndizi, kiti moto mboga, nguvu watatoa wapi??
kwenye tende tambi na kashata??
Hizi vyakula mbona hata Ulaya hawali mkuu, lakini unaona walivyo ngangari...Ujerumani wakicheza na Tanzania, Tanzania analamba hata 12-0

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…