Sio woteesZa leo wanajamvi,
Kwanini kwa 90% ya wanaofuga [HASHTAG]#RASTA[/HASHTAG] na wanaofanya kazi za [HASHTAG]#Kuchora[/HASHTAG] Huwa wachafu sana na wapo rafu kimavazi na kimwili? Huwa napata wakati mgumu kuwaelewa hawa watu, tatizo ni nini haswaaaa au ndio principles ya kazi zao kujiweka hivi.?
Exactlymapovu mengi yatakayotoka probably ni marasta,
muda wakufanya statistics JF ina marasta wangap ndio huu!
Dah! Kweli wanatisha [emoji85]Hahaha
Yupi mchafu??Waangalie Morgan heritage family ni marasta ila wasafiii
Soma tena hiyo comment utaelewa mkuuYupi mchafu??