Kwanini wanaotoa huduma za tiba ya asili wanaruhusiwa kujitangaza na wanaotoa tiba za kisasa hawaruhusiwi?

Kwanini wanaotoa huduma za tiba ya asili wanaruhusiwa kujitangaza na wanaotoa tiba za kisasa hawaruhusiwi?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Nenda radio zote, hasa za mikoani utaona wana vipindi kibao vikitangaza tiba asili na tiba mbadala. Wengi unawakuta wanaelezea magonjwa kama UTI, utasa, nguvu za kiume nk. Wengi wanaelezea kwa uelewa wa kuungaunga na upotoshaji. Sheria ya kutotangaza huduma ya afya iliwekwa kwa ili kumlinda mwananchi. Sasa mbona hawa watu wa tiba asili, wa tiba mbadala na wa tiba za kidini wameachwa kufanya watakavyo?
 
Haya mambo bhana

Nayaunganisha na matangazo ya kubeti.....
 
kwa sababu hii miti ya asili haina kemikali,au muunganiko wa kikemikali{mchanyiko wa kemikali moja kutengeneza dawa moja,ambapo ikama m2 hajasomea miaka mingi 5 hawezi kuruhusiwa,mfano hauwezi kumruhusu m2 wa darasa la7 au ata form six grauate akauza dawa,atauwa kijiji mazee,lakini miti shamba haina madhara sana kwani haina kemikali nyingi,hamna chuo kilichosajiliwa kwa masomo ya tiba asili mazee,kwa ivo ukikaa na bibi au babu yako kwa muda kadhaa tayari una PHD mjomba!!!
 
Back
Top Bottom