GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Ni Jambo la kushangaza kuona kuwa wanasimba ndo wako Mstari wa
mbele Kumpiga vita kocha wa Yanga kuwa ni Mbovu kuliko wana Yanga
Wenyewe, Mpaka sasa nashindwa kuelewa wema huu kwa timu ya Wananchi
unatoka wapi?? Wakati tumezoea kuwaona wakiwa na Furaha yanga inapofanya vibaya.
mbele Kumpiga vita kocha wa Yanga kuwa ni Mbovu kuliko wana Yanga
Wenyewe, Mpaka sasa nashindwa kuelewa wema huu kwa timu ya Wananchi
unatoka wapi?? Wakati tumezoea kuwaona wakiwa na Furaha yanga inapofanya vibaya.