Kwanini Wanaume Hawapendi................................

Mi sinaga mazungumzo zaidi ya sweet, honey,
Lakini ukikosea hakuna cha mazungumzo mezani nikibano mtindo mmoja.
Fidel yule binti wa TIP TOP alivyokukaa akisema " We need to talk" wewe mwenyewe hakuna hata kubisha
 
Fidel yule binti wa TIP TOP alivyokukaa akisema " We need to talk" wewe mwenyewe hakuna hata kubisha

Mkuu mimi aniambie matatizo madogo madogo najua kodi ya mwaka nimesha clear, we need to talk???????? hapo mpwa simwelewi.
 
Tatizo hapa, kama lipo, linabaki kuwa katika our inherent differences kati ya ME/KE.....

manake mwanamke akikwambia 'we need to talk'....ujue hapa kuna ugomvi tu, kuna kiti moto flani hivi unawekwa, nikimaanisha ile double meaning inayokuwa mwenye kila mnachosema, mfano wengine wakisema NO wanamaanishge Yes and vice versa....nakumbuka kulikuwa na sredi hapa juu ya hili
 
tatizo wanawake tunatumia hisia za mioyo yetu kukokotoa issues wakati wanaume wanatumia ubongo tu (hawazipi nafasi hisia za mioyo yao kwa issues flaniflani)

Kuna mambo ambayo kwa akili ya kawaida hayawezekani ila kwetu sisi yanawezekana kwa sababu ya mioyo yetu.
 
Ahaaa ahaa mkuu nimeipenda hiii
 
DA nimechelewa lakini mara nyingi hutokea kama mwanaume alikuahidi kitu fulani kukutendea lakini hajakifanya au kama kuna kakosa amefanya jua itakuwa ngumu kuongea na mtu huyu.
 

back to topic
 
DA nimechelewa lakini mara nyingi hutokea kama mwanaume alikuahidi kitu fulani kukutendea lakini hajakifanya au kama kuna kakosa amefanya jua itakuwa ngumu kuongea na mtu huyu.

Better late than never Mzee wa Rula
 
Nauliza hivi kwanini Wanaume hawapendi kuambiwa:
"Leo inabidi tuzungumze kuhusu jambo fulani" "Today We need to Talk"

Kwanini usiwaige wanaume? Wakisema hivyo, maana yake wanataka faragha!

Najua sometimes ni ngumu kuthibiti hasira, but ili uachieve hiyo tok yako/yenu iwe na matunda kwa maana ya discussion na si kutapika yale ulitokuwa nayo, then unahitaji kuwa cool! Visirani vinawaput off sana wanaume; l am not saying that usishow how serious you are, but you can still show it in a mature manner!
 
Sasa mmeshasema ni tabia ya wanaume na wao wamejikuta tu wamezaliwa wanaume therefore hakuna wa kumlaumu.
 
Ndo maana hutakiwi kufanya hivyo...kama umeamua kweli mpe bila kumtisha!

i like this...!sipendi mtu anaetafuna maneno na kupanga panga vikao.una kitu unanitazama usoni,unasema cha moyoni afu tunaanzia hapo.sio...'ooh this weekend tafuta muda kuna jambo nataka tuongee..' yani muda huo hutapata mamaangu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…