Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Iv kwanini wanaume wa dar huwa wanapenda kuvaa nguo za kubana mapaja kama za dada zao wana tatizo gan
Kwanini wanapenda sana kuongea maneno ya kike kike kwa mfano neno JAMAN wao husema JOMONIII wana tatizo gan
Nawasilisha
LONDON BOY
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Iv kwanini wanaume wa dar huwa wanapenda kuvaa nguo za kubana mapaja kama za dada zao wana tatizo gan
Kwanini wanapenda sana kuongea maneno ya kike kike kwa mfano neno JAMAN wao husema JOMONIII wana tatizo gan
Nawasilisha
LONDON BOY