Usipende kuwafwatilia wanaume wenzio shauli yakoSio wizu wambien kaka zenu wabadilike
Wakija huku mikoan tutawachapa viboko
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Iv kwanini wanaume wa dar huwa wanapenda kuvaa nguo za kubana mapaja kama za dada zao wana tatizo gan
Kwanini wanapenda sana kuongea maneno ya kike kike kwa mfano neno JAMAN wao husema JOMONIII wana tatizo gan
Nawasilisha
LONDON BOY
Na kwa nn wanaume wa mikoani wanapenda kuvaa masuruali makubwa kama MFUKO wa MASHINE YA KUSAGA NAFAKA? wao hawanaga fashion ya suruali ZAIDI ya hiyo na wanakaza MKANDA kiuno kinakuwa kidogo kama cha NGEDERE,, SIJUWI kwann