Kwanza mimi naijua Kenya kuliko wewe. Hakuna nchi hapa EA sijawahi kanyaga. I know you Kenyans very wellHuyo jamaa, nakuhakikishia hajawai kanyaga nje ya mkoa alikozaliwa acha Kenya! Watu kama hawa ni ngumu sana kuwaelewa. Sijui nikupuliza sana moshi wa kuni, hadi unawaingia kwenye medula?
ni vichwa panzitatu mkuu. Alafu jumapili nivigumu kuwakuta bar
Hongera kwa kuwajua wakenya wote 45 million, mimi nikiwa mmoja wao.Kwanza mimi naijua Kenya kuliko wewe. Hakuna nchi hapa EA sijawahi kanyaga. I know you Kenyans very well
Kwanza kenya hakuna madem wazuri ndo mana wanaume hawatumii pesa
Nafikiri tunakosea sana kuongea kwa ujumla 'generalization' nimeshakamatia dem mitaa ya equity Ngara na downtown CBD mida ya mchana tunapatana tuonane sehemu jioni for supper, baada ya misosi mimi na Tusker yangu dem anaagiza Smirnoff ice baada ya hapo sio Suzy, Wanjiku au Ann wote ni mwendo wa kuremove panty..Kenya wanawake wako very hardworking and successful. Ukitaka kunua pombe ndio ukalale naye, utanunua mwaka mzima. Tanzania on the other hand, wanawake wako very cheap. Unanunua bia leo, kesho unalala naye.
On the issue of beauty, inategemea na mtu. Wapo wanaoheshimu mwanamke ako independent, wengine wanaheshimu brains, makalio, umbo, urefu, sura, etc.
Hongera mama kuwakilisha taifa kwenye mechi za kigeniNajua
Hamna nchi ambayo wanawake wanapenda wageni kama Kenya mwanamke wa kikenya akijua wewe ni foreigner basi unamlala kirahisi saaana wanawake wa huko wana dharau sana wanaume wao ila kwa wageni wanawashobokea sana wengi ukiwapa mtoko siku hiohio ushalamba ndo maana wa Nigeria wanawatesa sana madem wakikenya siku hiziKenya wanawake wako very hardworking and successful. Ukitaka kunua pombe ndio ukalale naye, utanunua mwaka mzima. Tanzania on the other hand, wanawake wako very cheap. Unanunua bia leo, kesho unalala naye.
On the issue of beauty, inategemea na mtu. Wapo wanaoheshimu mwanamke ako independent, wengine wanaheshimu brains, makalio, umbo, urefu, sura, etc.
Mkuu, hiyo Ksh 250,000 unajua ni almost Tsh 5,000,000? Yaani uhonge mwanamke kwa mlo 1? Mimi ni Mtanzania lakini katika hili nadhani tupo ulimwengu tofauti na wewe aise.Moja kati ya nchi yenye wanaume bahiri ni Kenya hapa barani Africa. Tofauti na Nigeria, Uganda au Tanzania ambapo wanaume wanatumia sana pesa kwenye starehe kwa Kenya ni tofauti sana. Nivigumu sana mkenya kumkuta analipia bill ya watu aliokuwa anakunywa nao. Kenya hata mkwinywa kwa pamoja kila mtu atalipa bill yake. Nawakinywa beer nyingi ni tatu. Nigerians hao kwanza wanapigania ninani alipe bill ya mwenzake they are very social. Ugandans wao wanaweza kulipia bar nzima na pesa nyingine wana splash. Tanzanians ndo usiseme mtu anauwezo waukulipia bill week nziwa wewe kazi yako ni kwenda kunywa nakumwambia waiter '' bang on the bill".
Ubahiri umefanya hadi wasichana wa Kenya kuliwa na wageni wanaotoka nchi nyingine. Mkenya anaugumu kumuhonga mwanamke pesa huku alipewa muhogo ufanye kazi. Pesa makaratasi hasara roho. The more you spend the more you make.
Wanigeria na watanzania tutazidi kula wake zenu. Hivi kumpa mwanamke kama Huddah kama Ksh 250,000/= ukalamba Sukari yake au Betty Kyallo unapungukiwa nini? Pesa unakufa unaiyacha. You can never build an empire through money my dear Kenyans its only through people. Ila ningeomba hata kwenye vinywaji mpunguze ubahiri jameni. Biashara kubwa hufanyika bar, mtajikosesha opportunity za pesa ndefu. Hizo apartments wanazo nunua wa Nïgeria wanazitumia kula wake zenu. Tumia pesa ikizohe. Be like an animal it just eats knowïng tomorrow ït will eat again.