Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nao pia wanaokuja mjini bado hawajaoaNi huyo jamaa yako
Mimi naowajua wote wanaishi na wake zao
Wamasai ndio wanawaacha wake zao huko umasaini
Zamani walikua wana waacha yakatokea matatizo yafuatayo:Rafiki zangu wengi ninao piga nao kazi uwa wanaishi zaidi na watoto wao mwanamke anakuwa moshi.
Ni mwaka na nusu rafiki yangu Moshi simjui mke wake.
Kwann hii wandugu?
Ni utaratibu wa kwao naupenda na ni mzuri sana ila kwa wanawake wetu wa kariakoo kamwe huweziRafiki zangu wengi ninao piga nao kazi uwa wanaishi zaidi na watoto wao mwanamke anakuwa moshi.
Ni mwaka na nusu rafiki yangu Moshi simjui mke wake.
Kwann hii wandugu?
HahahaUtaishije na mwanamke kila siku anakuambia jenga nyumba nzuri,fungua biashara utamwachia nini mtoto! Hapo mna miaka 35-40. Anakuuliza hayo maswali. Akili kumkichwa.
Waulize hao rafiki zako.Rafiki zangu wengi ninao piga nao kazi uwa wanaishi zaidi na watoto wao mwanamke anakuwa moshi.
Ni mwaka na nusu rafiki yangu Moshi simjui mke wake.
Kwann hii wandugu?
Akili zao ziko kwenye maendeleo na hela zaidi.Rafiki zangu wengi ninao piga nao kazi uwa wanaishi zaidi na watoto wao mwanamke anakuwa moshi.
Ni mwaka na nusu rafiki yangu Moshi simjui mke wake.
Kwann hii wandugu?